Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Pole sana Mphamvu.
Pole sana ndugu yetu!...na mtoto wa dada yangu, yaani mjomba'angu, if you know what am I saying. Marehemu aliitwa Nelasi, binti wa miaka 10, mwanafunzi wa Shule ya Msingi Elu, Morogoro, aliumwa ghafla ugonjwa kama degedege (nina hakika sio), akalazwa zahanati ya Chuo Kikuu Mzumbe kwa siku kadhaa, jana akahamishiwa Hospitali ya Manispaa Morogoro, ambako mauti yalimfika majira ya saa 10 jioni, takribani saa moja baada ya kufikishwa hapo. Msiba uko Chuo Kikuu Mzumbe, nyumbani kwa wazazi wa marehemu.
Alfajiri nitaanza safari ya kwenda huko... BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA. JINA LAKE LIHIMIDIWE!
...na mtoto wa dada yangu, yaani mjomba'angu, if you know what am I saying. Marehemu aliitwa Nelasi, binti wa miaka 10, mwanafunzi wa Shule ya Msingi Elu, Morogoro, aliumwa ghafla ugonjwa kama degedege (nina hakika sio), akalazwa zahanati ya Chuo Kikuu Mzumbe kwa siku kadhaa, jana akahamishiwa Hospitali ya Manispaa Morogoro, ambako mauti yalimfika majira ya saa 10 jioni, takribani saa moja baada ya kufikishwa hapo. Msiba uko Chuo Kikuu Mzumbe, nyumbani kwa wazazi wa marehemu.
Alfajiri nitaanza safari ya kwenda huko... BWANA AMETOA, BWANA AMETWAA. JINA LAKE LIHIMIDIWE!