Nimefika Tabora, nawaambia wanipeleke mjini wanasema ndio hapa tulipo!

Majengo marefu sio maisha Bora mkuu.Mnaoishi dar mbona tunalipa kilio kimoja😂😂😂
Kikubwa angalia,je familia nyingi Zina nyuma zenye hadhi.
Sio mjini kati,bali pembezoni mwa mji.
Mjini kati ni sehemu za biashara.
Hiyo sehem yenyewe ya biashara kuna poorest to the infinixy infrastructure.
 
Kuna kijiji kimoja Njombe(kindengyembe njia ya kwenda lupembe) kina maendelo mazuri ukilinganisha na vijiji vingi bongo
Sikatai.
Kuna vijiji pia vimechangamka kweli kweli.
Kuna kijiji kinaitwa laile kama sijakosea kuelekea sumbawanga kelele kama zote sijajua maisha ya mmoja mmoja.
Ukianza ingia mbeya kuna sehem sijui wanauza mpunga pale pana hekaheka za utafutaji kweli kweli.
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Acha ujinga,mbona Tabora ni nzuri kabisa.

Wewe umetokea Mkoa gani?
 
Hiyo sehem yenyewe ya biashara kuna poorest to the infinixy infrastructure.
Sawa,kikubwa je population ipo.
Kwa maana biashara lazima kuwe na watu.Na watu ndo wateja mkuu.
Kikubwa ni biashara Gani umeplani kufungua.
Lakini ukiangalia eti majengo marefu na mapya hakuna🤔.
Majengo yanaweza kuwepo flemu zake ukashindwa kuyamudu mkuu kulingana na mtaji uliokuja nao.
 
Nini kiliupata huu mkoa? Nimewahi kufika Nzega na Igunga nikajua Tabora mjini patakuwa bora zaidi ya kule nimeshangaa.

Yaani mjini center nyumba ni za kizamani, hakuna kabisa modern buildings. Katikati ya mji nyumba zina mabati yameoza.
Vp ulifika Terros point?
 
Sawa,kikubwa je population ipo.
Kwa maana biashara lazima kuwe na watu.Na watu ndo wateja mkuu.
Kikubwa ni biashara Gani umeplani kufungua.
Lakini ukiangalia eti majengo marefu na mapya hakuna🤔.
Majengo yanaweza kuwepo flemu zake ukashindwa kuyamudu mkuu kulingana na mtaji uliokuja nao.
Ili sehemu ijazane watu lazima kuwa kuna mazingira vutishi(pulling factors),ambapo ongezeko la watu litaleta hitaji la huduma na kuchochea shughuli za kiuchumi na shughuli za kiuchumi kuchochea ukuaji wa makazi na miundombinu mengine.
Tabora hakuna mazingira vutishi,unipeleke Tabora besides ajira nini nitafanya??
 
Ili sehemu ijazane watu lazima kuwa kuna mazingira vutishi(pulling factors),ambapo ongezeko la watu litaleta hitaji la huduma na kuchochea shughuli za kiuchumi na shughuli za kiuchumi kuchochea ukuaji wa makazi na miundombinu mengine.
Tabora hakuna mazingira vutishi,unipeleke Tabora besides ajira nini nitafanya??
Mkuu kwani ilikuwa imekuja na plani ya biashara Gani hapa Mboka manyema! L.
Mpaka uone kwamba hapafai
 
Mkuu kwani ilikuwa imekuja na plani ya biashara Gani hapa Mboka manyema! L.
Mpaka uone kwamba hapafai
Mie sijawahi kufika huko Mboka manyema kaka, mie ni mnyamwezi wa Ndevelwa,nimekaa kwa muda Ndevelwa,Ipuli Nzega basi.
Na safari zangu nimejaribu kuzunguka mjini Tabora ila kaka sijaona vishawishi vya kunifanya nibaki Tabora.
Toka Tabora nenda mfano Morogoro kesha uniambie wapi patavutia mtu kuanzisha maisha.
Morogoro pana pull factors nyingi kuliko hata DODOMA.
 
Mie sijawahi kufika huko Mboka manyema kaka, mie ni mnyamwezi wa Ndevelwa,nimekaa kwa muda Ndevelwa,Ipuli Nzega basi.
Na safari zangu nimejaribu kuzunguka mjini Tabora ila kaka sijaona vishawishi vya kunifanya nibaki Tabora.
Toka Tabora nenda mfano Morogoro kesha uniambie wapi patavutia mtu kuanzisha maisha.
Morogoro pana pull factors nyingi kuliko hata DODOMA.
Wewe kajamaa una elements za ubishi Kila kitu.
Kwa hiyo Tabora hakuna maisha au watu hawaishi? Kipi Cha maana hapo Morogoro hakipo Tabora?

Tabora Kwa Sasa imeunganishwa na lami pande zote,Je zamani zilikuwepo? Hujaona Mji umekua? Ni kweli Tabora hakuna nyumba Mpya? Viwanja vya starehe havipo? Magorofa mapya mjini hayapo?
 
Ndio mana tuliona bora tuwe na serikali za majimbo kila mapato yetu yanakuja kuboresha jiji lenu kwa nini?Mapato ya tumbaku ,asali ,na mpunga pia mazao ya misitu yabaki kuijenga mboka manyema.
Naunga mkono hoja.Hao kenge wanaahindwa kujua kwamba pesa za Mikoa yote Tanzania Zinaenda kujenga Dar na Dodoma na Arusha harafu wanaongea shit.
 
Mbona Dar Kuna uswahili na imebadilika? Aliyekwambia Tabora haibadiliki nani? Unaemsikiliza huyo tapeli ameamua tuu kuchangamsha genge
Ndugu nimesoma Tabora enzi hizo Warsaw...girlzia
Nimefanya kazi Tabora since 2020,nimehama huko Sept last year...so I know mboka manyema👌
 
Ndugu nimesoma Tabora enzi hizo Warsaw...girlzia
Nimefanya kazi Tabora since 2020,nimehama huko Sept last year...so I know mboka manyema👌
Kwa hiyo wewe tumbuli unataka kusema Tabora ya wakati unasoma ndio ya Sasa? Barabara za mitaa Zenye lami na taa za Barabarani zilikuwepo hapo Mjini?

Hayo majengo marefu ya Gorofa yalikuwepo hapo Mjini? Vyuo Vikuu kama SAUT kilikuwepo? Lami za kulinganisha na Dodoma,Tabora na Mpanda zilikuwepo?

Kadanganye wajinga wenzako
 
Kwa hiyo wewe tumbuli unataka kusema Tabora ya wakati unasoma ndio ya Sasa? Barabara za mitaa Zenye lami na taa za Barabarani zilikuwepo hapo Mjini?

Hayo majengo marefu ya Gorofa yalikuwepo hapo Mjini? Vyuo Vikuu kama SAUT kilikuwepo? Lami za kulinganisha na Dodoma,Tabora na Mpanda zilikuwepo?

Kadanganye wajinga wenzako
Huwa sijibu watu waliotoroka mirembe🤣🤣🤣
Kanywe dawa zako it's time
And straight nakuignore bulldog🤧🤯
 
Back
Top Bottom