Nimefika mwisho, madeni yamenichosha!

Nimefika mwisho, madeni yamenichosha!

Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Hamia kijijini, kule unalima unasubiri mavuno, unakula na kuweka hakiba mpaka msimu ujao.

Hakuna ushindani kimaisha kama mijini, kule uwe na simu au usiwe nayo, ni sawa tu. Uwe na nyumba iliyo ezekwa bati au tembe hakuna anayejali.

Uwe na nyumba ya Tofali au ya miti hakuna anayejali, ilimradi wote mnaishi na mna afya njema.
Kukopa mijini ni style ya watu wengi sana, lakini usikubali kuwa mmoja wao.

Unaweza kuacha kukopa na ukatafuta kazi ukafanya au biashara, na ukabadili mfumo wa maisha, ukaishi kwa raha mustarehe.

Tujitahidi tusikope kufurahisha jamii inayotuzunguka.
 
Mimi ilifikia hatua nikasema silipi tena liwalo na liwe talipa pale tapo pata na nikaacha kuwaogopa wadeni wangu , nilicho jifunza ni madeni hayaui mkuu uoga wako ndo uta kuua

Saivi naishi kama sidaiwi maana nisha suffer kutoka madeni ya 27ml hadi 9ml sio mchezo ,inafika hatua kila pesa ya kwenye biashara unalipa deni nikaona ujinga huu saivi silipi deni lolote kabisa
 
Back
Top Bottom