Nimefika mwisho, madeni yamenichosha!

Nimefika mwisho, madeni yamenichosha!

Soma kitabu kinaitwa the rich man in the Babylon...

Madeni huleta utajiri
 
Pigana nao tu wasikuzingue hao, usikubali madeni Yao usione umuhimu wa kuishi. Bora wewe unakopesheka Mimi hata kwa kukopa buku Sina.
 
Jumla zinafika 6million.
Kiande wewe, unataka kufa kwa sababu unadaiwa milioni 6?
Thamani ya maisha yako ni milioni 6? Hopeless wewe.
Kabla hujafa nenda hospitali wakuvune viungo na damu ili viwasaidie wengine wenye ujasiri wa kupambana na maisha.
 
Jumla zinafika 6million.
ulifanyia nn ww? Tatzo la maskini akpata pesa hajali hata kama ni ya mkopo atawaza matumiz ikibak kdogo ndo anawaza kuwekeza ndo ile mtu kabeti kapata mil 50 atanunua cm ya mil 3, gari mil 30 bata mil 15 hapo atazurula viwanja vyote vngne atavipandia ndege kbs plus na mademu ikibak iyo 2 ndo anawaza apatiemo hela ya kubet tena na biashara.
 
Back
Top Bottom