Una daiwa kiasi mpaka sasa nikusaidie mbinu ya kulipaMambo yamekuwa magumu Sasa, inabidi nikope huku ili nilipe huku, hii inanitesa sana.
Kausha damu au bank mkuu?Inafika 6m.
Pambana😅Walionizaa hawajui ninachopitia, hata ni huruma kuwaambia, umri wa uzee, afya zao ndo haswa mtihani wetu. Siwezi kuongeza na hili langu. Nashindwa kumwambia yeyote.
I can feel your pain mkuu na raia zitasema wewe ni tapeli umekopa lakini hulipi. Lakini komaa mambo yatabadilika. Kuna muda unakuwa na madeni hata kulipa haiwezekaniKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Pole lakini tatizo halisolviwi kwa kulikimbia mkuu... Pambana kwa maana hata ukifa bado madeni yako yatakua pale pale.Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Mie madeni yangu yanaweza fika 40+ lakini sina hata wasiwasi na mie pia nadai jumla 68+Mimi nadaiwa million 13..
Ila nakatwa kila mwezi so hainihumi sana maana Toka nianze kufuga KUKU na enjoy sana nakupa ukweli wana faida asikudaganye mtu Mimi shuhuda
Yani ujiue kisa 6 million? Acha mawazo hayo mkuu.Marehemu ni tajiri, Mimi Sina kitu kwa Sasa...ila kwenye misiba pesa huwa zinapatikana.
Acha asili ifanye mambo yake kwa maana kufa Kila mtu atakufa, yachukulie maisha kama game tu, Kila kinachokutokea kwenye upande hasi na chanya jua ni kutokana na namna ulivyocheza hiyo game.Marehemu ni tajiri, Mimi Sina kitu kwa Sasa...ila kwenye misiba pesa huwa zinapatikana.
pole boss, usikate tamaa, Mimi ninadaiwa sio chini ya 30m ila neema ya Mungu imenifunika.Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Hili deni bado ni himilivu kwa viwango vyote vya kitaifa na kimataifa.Jumla zinafika 6million.
Mimi hapa ndio nashindwa kuelewa yani madeni yanamuuaje mtu? Si uhame unapoishiKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.