Toroka mkoa utakufa wwKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Rest In Peace Kamanda... Tutakukumbuka Kwa Uandishi Wako Wa Kipumbavu Uliotukuka Kama Huu Hapa JF...Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Ulisha acha kamari??Kila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.
Mimi nadaiwa million 13..Jumla zinafika 6million.
😂Nasyo kufa uzikwe nayoPole mkuu dawa ya deni ni kulipa
Kama hudaiwi ujue huna akili.... Nakuombea Sana kwa Mwenyezi MUNGU akutendee Jambo. Madeni yanazeesha na kuumiza sanaKila siku ni afadhali ya Jana. Sitamani hata kukuche, nimechoka mwili na roho, madeni yananimaliza, bora nipumzike nizikwe nayo.