solja njeree
Senior Member
- Aug 27, 2013
- 175
- 95
mkuu pole sana peleka hii kesi kijijini kwa wazazizi
Pole sana Mr Rocky, mkionana vp hasemi lolote? Msumbue angalau uambulie nusu hasara!
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote
Pole mkuu umenikumbusha the same story ya kudhulumiwa na rafiki wa karibu, kwa sasa mimi ninapotoa ela kwa rafiki au ndugu ninatoa kama sadaka zikirudi sawa zisiporudi sawa. Hapo roho itakuuma zaidi kwa mambo na maneno yatakayotokea baada ya wewe kuchukua hatua wewe ndio utaonekana hujui ubinadamu na maneno mengi, usimuamini mtu siku nyingine kwani kukopesha kunaweza kukugombanisha na marafiki na ndugu.
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote
achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote
kweli aisee mimi siachi kumkopesha mtu kama nnacho!!!ila nakukopesha kwa bond ukienda kulalama huko ooh jamaa nimempa laptop ya 1m kwa laki 3 cjui nini cjui nini utajiju ila mi najua nimekusaidia na utarudisha nitamsaidia mwingine!!!na ukizingua nauza laki saba nakupa laki nne zako...na sio muda nafungua micro ili niwe naweka na riba na kuchukua vitu juu....maana naona wanakuja kukopa wanaweka bond wanaenda kunisengenya wanalipa wanaenda kunisengenya tena etii ooh nimemrudishia viela vyake mara blah blah...wanaishiwa wanakuja tena na laptop ile ile nawapa kwa masharti yale yale na wanaendelea kulipa sasa nitaweka hiyo twenty % ya kujifutia machungu ya majungu...hakuna ubinadamu
Mmenipa uchungu....nilimkopesha rafiki yangu alipungukiwa ada 1.2m na ilikua ni karibu na mitihani so angekosa kadi ya kufanya mtihani. Ni mfanyakazi na najua hadi kiasi cha mshahara wake mpaka ninavyoongea research amemaliza na anagraduate dec 2013. Kila nikimuuliza esa yangu ananipa matatizo ya nyumbani kwao na hii ni toka june 2012. Hata kupunguza japo 50,000 amegoma. Namuachia mungu.
Marafiki hawakopeshani bhana wanapeana tuuuu mimi huwa sikopeshi nje ya kiasi ambacho nikizikwa nitalalamika; kama mtu anataka milioni 5 namwambia nina laki 8. Kichwani nishapima kama hazirudi ni poa tu kama msaada kwa jamaa yangu