Blue G
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 5,339
- 3,670
ple sana mkuu Mvaa Tai ila kisasi ni cha MUNGU tu so we mwangalie na kumwacha hivyo hivyo ila punguza mazoea na uishi naye kwa akili kubwa sana na uangalifu wa hali ya juu,
madhara ya kisasi:
hujui yeye amejiandaa kiasi gani akiwa ana uhakika kuwa iko siku utaujua ukweli,so unaweza amua lipa kisasi lakini akakushinda au kukuumiza hata zaidi.
kisasi kitakupotezea muda wako bure ambao ungeutumia kutafuta pesa zaidi kuzibia hilo pengo la hasra alilokuletea
mpotezee huyo rafiki mnafiki you still have opportunities to earn more than aliyokudhulumu,ila kuwa makini sana kuanzia sasa mazoea yawe ya salamu tu na sio mambo yako ya pesa au ya ndani zaidi na pia hakikisha hawi karibu hata na mke wako na watoto pia marafiki wa aina hiyo ni hatari sana.
kila la kheri mkuu.
madhara ya kisasi:
hujui yeye amejiandaa kiasi gani akiwa ana uhakika kuwa iko siku utaujua ukweli,so unaweza amua lipa kisasi lakini akakushinda au kukuumiza hata zaidi.
kisasi kitakupotezea muda wako bure ambao ungeutumia kutafuta pesa zaidi kuzibia hilo pengo la hasra alilokuletea
mpotezee huyo rafiki mnafiki you still have opportunities to earn more than aliyokudhulumu,ila kuwa makini sana kuanzia sasa mazoea yawe ya salamu tu na sio mambo yako ya pesa au ya ndani zaidi na pia hakikisha hawi karibu hata na mke wako na watoto pia marafiki wa aina hiyo ni hatari sana.
kila la kheri mkuu.
Last edited by a moderator: