Nimefanyiziwa na rafiki!!!!

Nimefanyiziwa na rafiki!!!!

achana nae huyu, life will tell nakuambia!!!!!
Hii dhambi itamsumbua miaka yake yote

Urafiki mambo ka kawaida, lakini yanayohusu pesa hakuna urafiki pengine husababisha kufarakana zaidi, wakati wanafamilia hufarakana sembuse rafiki?
 
Urafiki mambo ka kawaida, lakini yanayohusu pesa hakuna urafiki pengine husababisha kufarakana zaidi, wakati wanafamilia hufarakana sembuse rafiki?

Jambo ambalo mie huwaga hata siafikiani nalo ni kwanini eti mtu ufarakane na mkeo/mumeo kisa pesa?? ama dada/kaka kisa fedha hizi ambazo ukifa unaziacha??

sijawah kuona mie mahali ambapo pesa imekwenda dukan kumfanyia mtu manunuzi so long as itabdi mtu ndo aende kufanya hayo manunuzi basi mtu ni bora kuliko fedha.
 
Pole sana mshkaji. dahh....uaminifu umepungua sana siku hizi
 
Pole rafiki kwa yaliyokupata
achana naye asikupotezee muda wako bure wewe mwangalie yule
aliyeanzisha safari ya maisha yako ndiye atakayekufanikisha kwa
kila jambo ufanyalo utapata zaidi ya hivyo alivyokuibia
Hiyo dhambi ya kukuibia itakuwa inamsumbua kila siku na
hatapata amani mpaka akupe kilichocchako
ondoa hofu best mtegemee Mungu atakutokea kwa awamu ingine
 
Jambo ambalo mie huwaga hata siafikiani nalo ni kwanini eti mtu ufarakane na mkeo/mumeo kisa pesa?? ama dada/kaka kisa fedha hizi ambazo ukifa unaziacha??

sijawah kuona mie mahali ambapo pesa imekwenda dukan kumfanyia mtu manunuzi so long as itabdi mtu ndo aende kufanya hayo manunuzi basi mtu ni bora kuliko fedha.

Katu usifikiri upeo wa maono yako unalingana na kila mmoja wetu. Mtazamo wako ni wako ni mwingine ukimwelezea hayo ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi aliyeko machungoni ataendelea kuhangaika huku na kule kutafuta nyasi za kujishibisha.

Mgano itokeapo wanandugu kushughulikia mirathi hutishiana kuuani, kuachana ukoo nk, hii ni shauri ya mali tu si kitu kingine. Ndio maana wenye upeo kama wako wanaamua kuwaachia wenyewe wahangaike nayo kwa maana hiyo mirathi pengine hata haitakuongezea cha pekee au kukupunguzia dhamani ya maisha yako.
 
Katu usifikiri upeo wa maono yako unalingana na kila mmoja wetu. Mtazamo wako ni wako ni mwingine ukimwelezea hayo ni sawa na kumpigia gitaa mbuzi aliyeko machungoni ataendelea kuhangaika huku na kule kutafuta nyasi za kujishibisha.

Mgano itokeapo wanandugu kushughulikia mirathi hutishiana kuuani, kuachana ukoo nk, hii ni shauri ya mali tu si kitu kingine. Ndio maana wenye upeo kama wako wanaamua kuwaachia wenyewe wahangaike nayo kwa maana hiyo mirathi pengine hata haitakuongezea cha pekee au kukupunguzia dhamani ya maisha yako.

and that is me na wala sio kwamba namsemea mtu.
 
hata kama mshikaji kakuliza lakini amini usiamini kabeba zigo kubwa kichwani kwake zaidi yako.......!!halafu ipo siku atakuja kujirudi na fedheha zake!!
 
Pole sana. Kwakweli siku hizi ukiona rafiki yako anataka umsaidie ujue umelizwa tayari. Kiukweli hata mimi binafsi nimelizwa sana na so called marafiki na wanakuja kwa style ya matatizo ili uweze kumsaidia kwa haraka. Binafsi nimekoma na nazidi kujifunza kupitia kwa watu. Bora lawama kuliko fedheha. Kila siku utajikuta unatafutia watu hela tu. Proffesor Jay kasema jamani MARAFIKI WA KWELI NI MAMA NA BABA.
 
Mkuu Vumilia haki yako itakurejea.... Just asillalamike sana mwachie Mungu ndiye wakili na collector wako!!
 
Ungejua anapokaa, halafu ukanishirikisha, amini angelipa na baada ya hapo akikuona anakimbia kama Mwehu. Amekukuta huyo
 
Mimi mwenyewe nimekoma kumkopesha rafki yoyote , nilimkopesha jamaa angu ,sio chini ya laki 1 ila hadi leo hajarudsha na hana mpanga wa kurudsha . so nimejfunza ni her mtu akuone mchoyo
 
badili hiyo color kwanza maana watuumiza macho
 
Kila Mtu kapigwa kivyake wengine wamekoma na wengine bado hawajakoma...wanaendelea kupigwa tu na hii inasababishwa na mtu akiwa na kipato fulani cha kueleweka anajua akitoa hizo hawezi shindwa ishi.... sasa mambo haya huwa kama mikosi ikikuanza unapoteza poteza kuvunja kigonga kuumwa kuuguliwa kufiwa n.k hadi pukamulike vya kutosha Dawa yake ukiona yanaanza tu katoe sadaka kwa Omba omba yanakata yenyewe na unaweza pata hadi faida deal zinajileta zenyewe...

Hawa Watu wanaoomba omba pesa Usiku huwa sio wakawaida most of them huwa ni Mapepo... yanaweza kukuomba hata iwe saa sita usiku au saa nane usiku ukikutna nao tu wakakuomba ukawanyima mikosi itakuandama kwanza siku hiyo hiyo unaweza kuibiwa au kuvamiwa au ajali... kuweni makini sana na Usiku sio wenu mpumzike
 
Back
Top Bottom