Nimefanya mapenzi na ndugu yangu, nifanyaje?

Nimefanya mapenzi na ndugu yangu, nifanyaje?

Uwiiii bebe wangu Paloma kuna mtu ali-hack akaunti yangu lol.. Yaani mie niandike hivyo kweli ati nimeachana na wewe..! Hapa lazima kuna mkono wa mtu sikubali.. shansarie hebu njoo hapa useme ni nani alikuandikia hivyo..!

heee we si umeniambia unalea mapacha ila mama yao Paloma mshaachana unafukuzia michepuko saivi
 
Last edited by a moderator:
Hivi wote humu duniani Si ndugu?Sasa kuna ubaya gani kumgegeda ndugu yako kama wote ni watoto was baba mmoja na mama mmoja?
 
Kuna ndugu yangu mmoja alikuja nyumbani kwetu kwa vile alikuwa na matatizo kidogo sasa yapata miaka miwili sasa tangu aje kwetu, tatizo ni kwamba nilishawahi kufanya nae mapenzi.

Baada ya hapo nikampotezea, lakini kwa siku kama tatu amekuwa akiwa na mazoea ambayo hakuwahi kuwa nayo juu yangu kila ninapokuwa nyumbani anatamani kuwa karibu na mimi lakini mimi najaribu kumkwepa.

Tatizo jingine kuna dada mwingine ni mropokaji sana, kwahiyo naogopa asije akamwambia mzee kuhusu hili kwa vile anajua kitu tulichofanya, sasa nimwambie aniache kunisumbua au nifanyaje
.

Naombeni ushauri

fanya nae tena.
 
Kama ulishapiga unaomba ushauri gani. Endeleza tu.
 
Heee, kiwatengu embu njoo msikilize huyu. Angeongea Asprin sawa maana pale mmmh

Yaani mie hata sielewi kwa yule kikongwe Asprin mnaona nini lol..

:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:

Babu naomba kizizi na mie.. Maana ninaona hawa watoto wa kike wanavyokutolea mijicho ya uchu..

Hahahahaha

Wewe cheka na simba tu.. kiwatengu hebu ukuje hapa uone mchepuko unavyopigiwa debe uje kuuchepua mahaba yako..
 
Last edited by a moderator:
Duuuuhhhh.
Mwambie ilikuwa bahati mbaya tu na
Haitatokea tena:-(
 
miaka 18
male
ni mtoto wa shangazi yangu upande wa baba
We mtafute Ishmael ibn MaxShimba akutoe mapepo. Una MAPEPO Machafu. Umtayarishie Mr. Kitimoto sadaka nono ili aifanye kazi hiyo ya kipaulo kwa bidii.
 
Kuna ndugu yangu mmoja alikuja nyumbani kwetu kwa vile alikuwa na matatizo kidogo sasa yapata miaka miwili sasa tangu aje kwetu, tatizo ni kwamba nilishawahi kufanya nae mapenzi.

Baada ya hapo nikampotezea, lakini kwa siku kama tatu amekuwa akiwa na mazoea ambayo hakuwahi kuwa nayo juu yangu kila ninapokuwa nyumbani anatamani kuwa karibu na mimi lakini mimi najaribu kumkwepa.

Tatizo jingine kuna dada mwingine ni mropokaji sana, kwahiyo naogopa asije akamwambia mzee kuhusu hili kwa vile anajua kitu tulichofanya, sasa nimwambie aniache kunisumbua au nifanyaje
.

Naombeni ushauri

Hayatuhusu. This is your private business. Kama huna mada ya maana Nyamaza kimya.
 
Back
Top Bottom