Nimefanya mapenzi na ndugu yangu, nifanyaje?

Nimefanya mapenzi na ndugu yangu, nifanyaje?

Maswali mazuri Sana haya Ila imenishangaza ndugu jamani unalala nae vipi bila woga? Binadam tunatofautiana tena home duh kaz kweli kweli

Yaani haya mambo anayeweza Mnyama na Ndege mfano kuku na jamii zake,mnyama wa kufuga na wa porini.

Lakini kwa binadamu ni jambo la ajabu labda na wewe uwe na akili za mnyama.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
JF wekeni age restrictions PLS..hawa watoto mtawapoteza na ushauri wa mambo ya kijinga wanayotaka kushauriwa.
 
Yaani haya mambo anayeweza Mnyama na Ndege mfano kuku na jamii zake,mnyama wa kufuga na wa porini.

Lakini kwa binadamu ni jambo la ajabu labda na wewe uwe na akili za mnyama.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Na huko tunakoelekea hata hawa wanyama nao watatushangaa sasa
 
Ndugu yako kabisa mnatanuana miguu na kuinamishana?
 
Khaa!! Hayo ni ya kawaida sana kwa watoto. Ukifikisha angalau 14yrs mtaacha wenyewe :glasses-nerdy:
 
Kumbe binamu, kwi kwi kwi, huku pwani huna hata chembe la kosha ila kwa Muumba wako ni tatizo.
 
robin shango

Hakika nyakati za sodoma na gomora zina rudi tena nyakati hizi.... yaani una mgonga ngozi ndugu yako wa damu?
hata DUNGA DUNGA TU ...mwenyewe huwa hana hiyo tabia.
 
Last edited by a moderator:
Halafu wewe umejificha wapi..? Una habari nimeachana na Paloma na sasa niko huru..? Najua na wewe kiwatengu anakuzingua hebu jimuvuzishe pande hii basi..

yaani jinsi nilivyokumisi nimekupa na rep kabisa, rudi kwenye mtongozano wa kiutu uzima ujipatie mwingine, paloma kachemsha . tatizo unadukua sana punguza udukuzi . Nakale kababe ulikompa inakuwaje au ndo mnabaki walezi?

btn mmi siachiki tutazinguana tu ila siachwi, nkiachwa mm kila mtu ataachwa.
 
Watu mnamkebehi mtoa mada, huyu ni km mdogo wenu tu kibongobongo ni form 6, mshaurini kistaarabu kishafahamu kakosa. Tukaneni mizee kama nyie lkn hawa teenagers ni kuwasaidia badala ya kebehi.
Dogo nakushauri mwambie kistaarabu huyo nduguyo kuwa mlikosea basi msiendelee kufanya kosa, la sivyo mkishtukiwa dunia itakuwa chungu mno.
 
Ulivyo mgegeda mwanzo hukujua kama ni ndugu yako, au kwa sababu ushatimiza haja hivyo humtaki, endelea tu kula tunda la ndugu bana
 
Back
Top Bottom