ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Hii yaweza kuwa kweli!!Mkuu imani yako ndo kila kitu kama unaamini umeupata utakuwa umeupata kweli..
Kabla hujamgonga ulikuwa umeshapata taarifa kuwa ameathirika au ulikuwa hujui? All in all nyg mbaya sana...Habari
Juzi kati hapa nilikuwa namzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajirengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?
Nipo katika pressure kubwa,kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!
Je kufanya mapnzi na mtu muathirika means na mimi nimesha upata au vipi? Msaada tafadhari
Utanyooka tu!..ndio malipo ya uzinzi hayoHabari
Juzi kati hapa nilikuwa namzuka sana wa kufanya mapenzi Bahati nzuri kuna msichana akajirengesha nikafanya nae mapenzi! Tatizo ni kuwa Huyo dada ni Ameathirika na Ukimwi Je vipi na mimi nimesha Ukwaa au vipi?
Nipo katika pressure kubwa,kupima naogopa japo nilitumia Kondom na sikuwa na mchubuko wowote Ule!
Je kufanya mapnzi na mtu muathirika means na mimi nimesha upata au vipi? Msaada tafadhari
Hahahaha mkuu wasi wasi muhimuUmetumia Condom alafu unakuja kulialia hapa.
Mambo hayo waachie wakubwa wanaozama mpaka chumvini kwa waathirika na hawapati ukimwi.