Nimefanya mapenzi na dada yangu kwa miaka 3

Nimefanya mapenzi na dada yangu kwa miaka 3

Baada ya kuhitimu form 4 nilielekea Mwanza kusaka life. Katika misele yangu nilimtongoza binti mmoja wa chuo cha sauti mwaka wa pili, akanielewa.

Tukaendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi mpaka alipomaliza na kuludi kwao KIGOMA mi nikabaki Mwanza. Kila nilipokuwa napata nafasi nilikuwa naenda kuonana nae. Mala kwa mala tulikutania guest moja pale mitaa ya Mwanga. Sasa mwezi ulioisha mwaka huu tulielekea kwao mimi na yeye.

Akawa amenitambulisha kwa mama yake kuwa mi ni mchumba wake. Mama yake akaniuliza unaitwa nani? Nikamwambia kila kitu kuhusu mimi na familia yangu kwa ujumla na sehem napoishi.

Nilipomwambia tu akaanza kulia huku akisema kuwa alizaa na baba yangu na mtoto ni yule mchumba wangu (jina nalihifadhi kwajili ya kutunza heshima) lakini alipo olewa tena kwa mwanaume mwingine baada ya kuachana na baba alimbadilishia jina mtoto wake na jina la ubini likanadilika akamuita jina la yule mme wake wa pili.

Nimeshindwa cha kufanya mpaka sasa nahisi kuchanganyikiwa kwani yule binti anaujauzito wangu, na mi na yeye tumechangia baba mmoja tofauti ni mama tu. Nifanyeje jamani???
tatizo liko wapi hapo ?
Wenye makosa wazazi wenu. Isitoshe kitanda hakizai haramu
 
Mala kwa mala==mara kwa mara
Likanadilika==likabadilika

Mkuu kama demu ana mimba haina jinsi, we chuna tu mpaka demu azae.. Sikiza moyo wako bhana kwakua hayo c makosa yako.. Kaa unampenda we endelea kupiga nyama , hapo hata Mungu mwenyewe atachukulia poa.
Asante kwa ushauli wako brother

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Sasa kama unaomba iwe hivyo,huku jf ulikuwa unaomba ushauri gani hasa?
Nilitaka nipate ujasili wa kuongea pindi ntapokua ktk kikao cha mwisho, pili nilitaka kujua kuwa kama mawazo yangu yalikua sahihi au lah. Ndo mana nliomba ushauli

Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
 
Bas pouw ! mkiambiwa uzinzi c kitu kizur mnang'ang'ana ooo Shake well bfo use !
 
Ac hu ku cha a a a a a a a a a . Hadithi njoo utamu kolea. Enhe e e e . lete porojo.
 
Pole sana na yaliyokukumba, hili no tatizo kubwa kwa wanawake kuwaficha watoto wao ukweli wa majina ya baba zao.

Na amini mwenzako angefahamu amgeweza kushtuka mwanzo au katikati.

Usijilaumu sababu hauma makosa, cha muhimu mueleze baba yako nae ajue na mama yako. Pia hata kama kuna mitego ya mila nina uhakika haitakukamata sababu haukufanya kwa kujua kimakusudi.

Ili pia ni funzo kwa wanaume wanaozaa na kuficha bila kuanza kuonyesha watoto wenu wa nje kivyovyote vile. Ila sitaki kufikiria kuwa katika viatu vyenu, kweli damu inayoingia sura za watoto usaidia sana. Pole
 
Hadithi njoo utamu kolea..... Subir maamuz ya mwisho ya wazee watakachoamua fwateni
 
Wakati Mungu anaumba ilibidi ndugu awape maumbo yasiyoingiliana kama namba za spana na nati au nati na bolt.
 
Back
Top Bottom