Pole sana na yaliyokukumba, hili no tatizo kubwa kwa wanawake kuwaficha watoto wao ukweli wa majina ya baba zao.
Na amini mwenzako angefahamu amgeweza kushtuka mwanzo au katikati.
Usijilaumu sababu hauma makosa, cha muhimu mueleze baba yako nae ajue na mama yako. Pia hata kama kuna mitego ya mila nina uhakika haitakukamata sababu haukufanya kwa kujua kimakusudi.
Ili pia ni funzo kwa wanaume wanaozaa na kuficha bila kuanza kuonyesha watoto wenu wa nje kivyovyote vile. Ila sitaki kufikiria kuwa katika viatu vyenu, kweli damu inayoingia sura za watoto usaidia sana. Pole