MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Hii hekaya bado haijaniiingia akilini, unasema Binti kwao ni Kigoma na kwenu ni wapi vile?
Na sijui ni kwanini mara zote huwa ni tamthilia zinazohusisha ngono..mara nimelala na mjomba..Mara nimelala na shangazi na shemeji..hamna ubunifu mwingine..du, humu JF hakuishagi tamthlia?
Sijafanya kosa sababu sikujua, ila nawaza juu ya ujauzito alionao, pia kuna vikao wamesha kaa wazee bado hawajafikia mwafaka.
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Hakuna shida budah, mpe mchuchu dushelele na kumkojoza kama kawa maana hukujua mwanzo sababu ya Waka FB,Istagram,JF,Whatsapp,twitter n.k kwani kwa sisi huwa tunawauliza vyura uzao wao na kufanya udadisi kwanza.Kwa maana hata Kumuuliza Jina la baba,babu,bibi, ukoo n.k.Baada ya kuhitimu form 4 nilielekea Mwanza kusaka life. Katika misele yangu nilimtongoza binti mmoja wa chuo cha sauti mwaka wa pili, akanielewa.
Tukaendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi mpaka alipomaliza na kurudi kwao Kigoma mi nikabaki Mwanza. Kila nilipokuwa napata nafasi nilikuwa naenda kuonana nae. Mara kwa mara tulikutania guest moja pale mitaa ya Mwanga. Sasa mwezi ulioisha mwaka huu tulielekea kwao mimi na yeye.
Akawa amenitambulisha kwa mama yake kuwa mi ni mchumba wake. Mama yake akaniuliza unaitwa nani? Nikamwambia kila kitu kuhusu mimi na familia yangu kwa ujumla na sehem napoishi.
Nilipomwambia tu akaanza kulia huku akisema kuwa alizaa na baba yangu na mtoto ni yule mchumba wangu (jina nalihifadhi kwajili ya kutunza heshima) lakini alipo olewa tena kwa mwanaume mwingine baada ya kuachana na baba alimbadilishia jina mtoto wake na jina la ubini likanadilika akamuita jina la yule mme wake wa pili.
Nimeshindwa cha kufanya mpaka sasa nahisi kuchanganyikiwa kwani yule binti anaujauzito wangu na mi na yeye tumechangia baba mmoja tofauti ni mama tu.
Nifanyeje jamani?
maisha lazima yasonge aiseeSasa ujauzito unataka uufanyaje....? Acha ujinga....mwache dadako....atazaa mtoto atalelewa...kwanza mi nashangaa hao wazee wanakaa vikao vya nini...coz hii ni wewe ulitakiwa uamue tangu day one ulivyojua...mengine ni formalities tu
cc miss chagga