Sio utani huu. Mpaka hapa j3 ni kikao cha mwishoRudi kwa Shigogo ukajipange mkuu
Wazazi wa ukoo wangu wamekataa katika kikao cha pili, hapa nasubilia kikao cha mwisho j3 kwajili ya maamuziKwani mkiamua tu kuachana tatizo nini?
Mimba au?
Kwani hujawahi kupenda halafu badae ukaacha?
Sasa sasaivi si umeshajua ?
Kwanini? Wakati niko katika mawazo ya kutaka suluhishoZINAA NA MADHARA YAKE....Ndio Kilipaswa Kuwa Kichwa Cha Habari Cha Mada Yako
Kwanini sasa msichinje?Tumesha kaa vikao viwili, wanadai tuvunje undugu kwa kuchinja mnyama
Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
Tatizo watu wengi mnachukulia kawaida sababu hayajawakuta nyie. Ndo mana mnaamua kusema vile mnavyojiskiaMkuu haya ni.mambo ya kutunga tu! Hayana ukweli wowote.
Yawezekana ikawa hivyo unavyodhani wewe, lakini ukweli utabaki pale paleila kuna watu wanavipaji vya kutunga hadithi ambayo hata haiendani na uhalisia
Hawa kidato cha sita??Leta hadithi nyingine hii fupi mno. BTW JKT wakazane kuwa keep bize hawa vijana
Hahaha mkuu hii nimeipenda..ukimchunguza sana bata huwezi kumlalea mimba wewe undugu wote tanzania hii ni ndugu kama ukifuatilia kwa undani!
Sijafanya kosa sababu sikujua, ila nawaza juu ya ujauzito alionao, pia kuna vikao wamesha kaa wazee bado hawajafikia mwafaka.Kosalako liko wapi?
Nasubilia maamuzi ya kikao cha mwisho j3, wakinikabidhi mi ntaoa tu. Kiukweli bila kudanganya mpaka sasa naumia roho jinsi alivyo mzuri. Wakinipa mi naoa.Endelea kujilia mzigo mwanawane
Hayo watajua wao
Ya, nimejua lakini maamuzi ndio magumSasa sasaivi si umeshajua ?
Ugumu wake nini sasa hapo?
Hata mimi naomba mungu kwenye kikao cha mwisho wachinje tu mnyama wanikabidhi Mpenzi DadaKwanini sasa msichinje?
Halafu unakimbilia huku?