mkuu kama wwe umesomea IT, Engineering Na maswali ya afya huku wwe ni dili kubwa sna
Mafanikio Ni Namna Unavyochanga Karata Zako..So Ni Wewe Tuuu!!Ka ka angu amekaa Botswana miaka 20 hakurudi hata na kijiko. Yan huko alienda kupoteza muda tu.
duuuu sijui [HASHTAG]#kuajiliwa[/HASHTAG] ndio nn ?? waaiiiiiiii mm cpend kuona mtu anaharibu kiswahili waaaaaaaiiiiiiiiiiiio jifunzen bhana sio mbaya lkn nakutakia maisha mazuribaada ya kutafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu sana nimemua kuja Botswana huku maisha angalau cz nimeajiliwa kama dereva tax nimepanga getto ila kuna vishawishi balaa watoto wazuri kibao ukiwa na documents halali uta enjoy maisha
Ili kukoleza Uzi wako embu type dondoo za kufika na kupata Kazi hukoina lipa sna na wana soko sana
Kwani hapa nchini kwenu ndio hamna ngoma?Kumbuka Ngoma ipo sana tu huko
Kijana uko mji gani?mkuu kama wwe umesomea IT, Engineering Na maswali ya afya huku wwe ni dili kubwa sna
Wanategemea ng'ombe na diamond lakini wako mbele sana kiuchumi.Botswana ni nch ya kwanza inayotegemea uchumi wake mifugo hasa ng'ombe. VP unaonaje huko hat project mbalimbali maana wengine tuna procession hizo tunasota tu Tz
Kweli mzaziTusiwazie kwanza kazi huko Botswana!Tuanze kujiweka sawa na documents za kuhalalisha utafutaji kazi kwanza!
Ili ukifia usianze kuwa mkiambiaji tuu