Nimefanikiwa kupata kazi Botswana

Nimefanikiwa kupata kazi Botswana

Tz niliichoka kabisa pale video ya Abba ft young D -Gariyangu Eti haina hata gari
#TuhamieBotswanaTu
 
Nasikia Botswana kama ndio mara ya kwanza kwenda alafu hauna mwenyeji uendako wanakuzingua boarder Hamna kuingia. Kwa yeyote mwenye trick ya kutuelekeza tufanyaje kwa sisi ambao hatuna wenyeji Botswana tufanyeje ili na cc tutie miguu Pande zile?
Hayo ni maneno tu ila nchi yeyote Ile ukifika border lazima ujieleze kinachokupeleka ( show money) hiyo lazima uonyeshe lakini wakati mwingine hauulizwi wanakuuliza pia wakupe muda gani Mimi nimeishi huko Francistown na Gaborone halafu rate ya Ukimwi unapoitaja Tswana rejelea nchi Yako pia Ngoma IPO sana
 
Hayo ni maneno tu ila nchi yeyote Ile ukifika border lazima ujieleze kinachokupeleka ( show money) hiyo lazima uonyeshe lakini wakati mwingine hauulizwi wanakuuliza pia wakupe muda gani Mimi nimeishi huko Francistown na Gaborone halafu rate ya Ukimwi unapoitaja Tswana rejelea nchi Yako pia Ngoma IPO sana
VP kaka work permit kwa skilled workers (doctors & engineers) wanatoa hivi Sasa au ni kipengele
 
baada ya kutafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu sana nimemua kuja Botswana huku maisha angalau cz nimeajiliwa kama dereva tax nimepanga getto ila kuna vishawishi balaa watoto wazuri kibao ukiwa na documents halali uta enjoy maisha
+267
 
VP kaka work permit kwa skilled workers (doctors & engineers) wanatoa hivi Sasa au ni kipengele
Yes wanatoa hawana tatizo Tena Health sector chance ni kubwa sana wabongo ni wengi sana Diaspora aslimia kubwa wanatokea hiyo kada
 
Back
Top Bottom