VeroEretico
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 513
- 401
Vipi kuhusu fani za Kilimo kazi zipo?mkuu kama wwe umesomea IT, Engineering Na maswali ya afya huku wwe ni dili kubwa sna
Vipi kuhusu fani za Kilimo kazi zipo?mkuu kama wwe umesomea IT, Engineering Na maswali ya afya huku wwe ni dili kubwa sna
Kwenda wapi mkuu?Napitiliza
Hadi bondeni kwa MadibaKwenda wapi mkuu?
Lugha gani inatumika hukobaada ya kutafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu sana nimemua kuja Botswana huku maisha angalau cz nimeajiliwa kama dereva tax nimepanga getto ila kuna vishawishi balaa watoto wazuri kibao ukiwa na documents halali uta enjoy maisha
Ulizia na afya kiongoziBrick layers, makanika, chefs hizi ni badging ya kazi zinazolipa Botswana
baada ya kutafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu sana nimemua kuja Botswana huku maisha angalau cz nimeajiliwa kama dereva tax nimepanga getto ila kuna vishawishi balaa watoto wazuri kibao ukiwa na documents halali uta enjoy maisha
Mkuu kuna ngoma sana hukobaada ya kutafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu sana nimemua kuja Botswana huku maisha angalau cz nimeajiliwa kama dereva tax nimepanga getto ila kuna vishawishi balaa watoto wazuri kibao ukiwa na documents halali uta enjoy maisha
Wanaongea kiinglish na kitswana.Wanatumia lugha gani huko
Dar-tunduma. Nakonde-lusaka-Lusaka- botswanaNawaza nijiripue huko nauli sh ngapi kwa njia ya barabara nikauze mgahawa huko
Inategemea unatokea wapi,kama Dar es Salaam inahitajika kama laki 2 hivi unafika comfortablyNawaza nijiripue huko nauli sh ngapi kwa njia ya barabara nikauze mgahawa huko
Mbona mtoto mzuri hivi au hako ka do sio kako ume download?Dar-tunduma. Nakonde-lusaka-Lusaka- botswana
Andaa si chini ya laki 3. Usafiri plus lodge etc
Sent using Jamii Forums mobile app