donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,130
- Thread starter
-
- #121
Bongo hakuna hacker ... sasa kama wewe unajiita hacker yule “smliing hacker “ atajiitaje ?!
I phone wametangaza dau kwa atakaye weza ku hack technology yao anza hapo kwanza
Kuna mengi ya kueleza hapa, ila muda hautosh....Labda niweke mambo sawa kidogo ili vijana wasipoteze muda sana na mambo ya hacking...
Hacking is far more than pressing Enter buttot on your PC.
Kuwa hacker ni kipaji na sio kukurupuka. Ukijua programming haimaanishi unajua kuhack. Kujua kuhack inabid uwe mult talented kwenye sekta tofaut za Computing... Kwa kuzitaja chache tu...
1. Programming
2. Networking and security
3. Reverse engineering
4. Systems design an analysis
5. Database and database programming
6. Cryptography
7. Hardware
8. Virtualization
9. Operating systems
Nk nk nk nk
Sitopata muda wa kuelezea yote hayo na umuhimu wake kwenye hacking.
Lakin kutokujua meng miongon mwa hayo utakuwa ni mbabaishaji na kuwatisha wasiojua.
Labda niseme kidogo tu upande wa programming na virtualization technology kwa mbali nikitupia cheche za networking japo sio mtaalam sana....
Kijana unajifunza kufanya hacking kwenye web app kama jamii forum, directly trying to attack it ( Kwanza kwa kanuni zakibaharia umekosea)
wewe ni mwanamke kweli...?
Amin
Sijakimbia umande, ndio maana mimi nataka wewe unipige darasa bibie.
MKAVELI Jr.
Mtata
Kila system inauwezo wa kuwa exploited na ndio maana hata makampuni makubwa kama twitter yanalia.
Hata JF inaweza kuwa exploited endapo tu resources na knowledge ya huyo exploiter itazidi JF systems.
2020 Uchaguzi Day tutashuhudia JF ikiwa slow sababu lazima wahuni kutoka China waje kuidondosha kama 2015 maana JF ishaprove to be a powerful tool.
😂 😂 😂 😂 😂 😂wacha utani wewe mtoto, yani umekariri nmap ndiyo unatisha watu?. nadhani uko stage ya chekechea hata mtihani wa la kwanza huwezi kufanya.
KABISA Nimemzoom tuHaujaivaunataka ku hack mtandao kwa TERMUX? shame on you kidogo ningeona KALI LINUX hapo ningejua unajaribu jaribu ila TERMUX tena kwa android??poor you na vi command uchwara
Serikali inatumia Dos attack
Au somekind of WAN DNS Poisoning kwa internet provider wetu kufanya site iwe unreachable
of courseBasi ndicho kitakachofanyika 2020
Kimetokea Maandamano ya Mange
Kilitokea 2015
Kuna mengi ya kueleza hapa, ila muda hautosh....
Kiutaratibu kama unataka kutafuta makosa kwenye mifumo ya computer lazima uweke miundombinu ya kuweza kufanya hayo majaribio yako. Hiyo miundombinu inatengenezwa kwa kufanya somekind of virtualization. (Hapa kwenye virtualization Sasa unasimulate the entire structure namna web app/system inavofanya kazi) maana unaweza kudesign networking structure ya JF, arrangement ya servers, Routers, firewalls nk).
Ukidesign hivo na kujua server inafanya vipi kazi inabd pia ujue namna ya kureverse, na unaweza ukafanikiwa kureverse lakin isiwe na msaada sana kwako kama hujui decryption/encryption (cryptography).
NB: kukushauri tu kama unataka kuhack web apps jifunze vizur programming kama python, php, js, perl, Java,shell scriting na ruby.
Jifunze kufanya virtualization Tena kwenye PC yenye uwezo mkubwa sana ili uweze kufurahia tendo.
Jifunze database na models mbalimbali za kumanipulate databases kama vile ORMs
Jufunze Linux OS zinazotumika na mambo ya security mfano.. KaliLinux (Kali sana), Parrot Os, arch strike nk.
Jifunze kupiga attacks kwenye Samurai Web test framework, Damn vulnerable, mutillidae na pia ujifunze kutumia Ile kitu inaitwa Burp Suite .
NakujaBasi sawa, twenzetu darasani. Nyerere alisema Elimu haina mwisho.
Maka Mtata heheheheee.
Woooiiiii mnizoeee tuu jamanii ndo nilivyo....
Nikikunwa lazima nipige uyowee najua napata likes nyingi tuu humu ila like ya huyu kaka Maxence Melo inanipaga upako najikuta tuu lazima niandike kusema Senkyuuu Maxy, najua pia wengi wanapata like yako ila kwangu mie naitunuku like yako.
Mnaokwazikwa na quotes zangu mkishindwa kuvumilia kimya kimya bila kujibu dhihaka, fanya kuniweka kwenye ignored list yako, hamtanisoma tena maana nashindwa kujizuia kueksipresi mai filingi heheheeeee.
Nikutakie majukumu na uwajibikaji mwema Melo, cheers !!
Matata K.
Daah, hongereni sana Admins, nimejaribu kusaka vulnerabilities kwenye jamiiforums ila nimesanda.View attachment 1194369
Hahah....
I was waiting for Melo to tap that like button...boom jamaa ka fanya kweli...