Nimedisco, msaada wenu please!

Nimedisco, msaada wenu please!

Ukitaka kujua tuna safari ndefu kufikia mafanikio jaribu angalia jinsi watu wanamjibu mleta Uzi hapa jukwaani, yani tumeshindwa kabisa kujua ni wakati gani tufanye midhaa Na wakati gani tuwe serious kidogo

Ndugu zangu kwa wale ambao wanamkejeli huyu jamaa eti poleni sana maisha ni safari Na kwenye hii safari kuna ups and down nyingi sana kama hujawahi pita kwenye hili huto kaa umuelewe huyu jamaa anapita kwenye kipindi Gani Sasa

Wito Na ombi langu tujaribu kuwa waungwana kwa maana kati yetu sisi hakuna aliye mkamilifu, tumsaidie kwa mawazo Na ndio maana amekuja hapa sababu anaamini JF ni tanuru la fikra.

Kuna wakati wa kupanda Na wakati wa kuvuna hivyo tujitahidi tofautisha nyakati
Umenena vizuri watu kama hao waliojawa na viburi kwenye matatizo ya wenzao ukifuatilia wengi wanaishi maisha ya kubahatisha
 
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Pole kwa changamoto husika, kila chuo kina taratibu zake ambazo kutozifuata/kuzikidhi hupelekea muhusika kudisco, wengine ni idadi ya Supplementary kwa semister, ulazima wa ufaulu katika masomo ya lazima na kadha wa kadha. Jitathmini tu, kwani sababu za msingi unazo wewe na zipo ndani ya uwezo wako, zifanyie kazi. Mara nyingi kama sio zote mafanikio huanzia chini, jitathmini na rekebisha mambo yako ili uweze ukafanikiwa kwa wakati mwingine. Kama kuna uwezekano fanya appeal, na kama hakuna namna, anza upya.
 
Una supp ngapi. ........kama zimezidi nusu ya masomo ulitakiwa urudie semester sio ku-disco .


Bado GPA inakulinda....

Jaribu kufuatilia mistake huwa ZIPO
Kuna wat wanasupp zte nne na hawajaandikiwa disco wala kurudia semista na wanahzo gpa za 2
 
Jaribu kufuatilia ofisin wakuandikie barua iende Nacte.... Labda kuna makosa
 
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Haya mkuu tafuta kozi nyepesi hiyo inakusumbua
 
Hapana ndug
Nenda ofisini kawaambie GPA yako inaruhusu kufanya sapu sio disco....bado haujadisco mkuu pole Sana..labda kama ulikamatwa na illegal materials ila hutak kusema au pengine chuo chenu kimefutiwa matokeo kwa sababu ya kugushi ..
 
Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?

Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
UKIDISCO DIPLOMA MWAKA WA PILI HAWAKUPI CHETI (CERTIFICATE )
 
Nenda ofisini kawaambie GPA yako inaruhusu kufanya sapu sio disco....bado haujadisco mkuu pole Sana..labda kama ulikamatwa na illegal materials ila hutak kusema au pengine chuo chenu kimefutiwa matokeo kwa sababu ya kugushi ..
Hyo kwakwel hapan..
 
Back
Top Bottom