Nimedisco, msaada wenu please!

Nimedisco, msaada wenu please!

kudiskisha ndio nini? na wewe ni discontinue mtarajiwa


Anajiona naye anajua eti
funza funza tu akili imejaa funza eti wewe ni discontinue mtarajiwa
Nendeni huko na GPA zenu za 2 huko mimi nimegraduate degree wewe upo primary funza wewee
 
Ukitaka kujua tuna safari ndefu kufikia mafanikio jaribu angalia jinsi watu wanamjibu mleta Uzi hapa jukwaani, yani tumeshindwa kabisa kujua ni wakati gani tufanye midhaa Na wakati gani tuwe serious kidogo

Ndugu zangu kwa wale ambao wanamkejeli huyu jamaa eti poleni sana maisha ni safari Na kwenye hii safari kuna ups and down nyingi sana kama hujawahi pita kwenye hili huto kaa umuelewe huyu jamaa anapita kwenye kipindi Gani Sasa

Wito Na ombi langu tujaribu kuwa waungwana kwa maana kati yetu sisi hakuna aliye mkamilifu, tumsaidie kwa mawazo Na ndio maana amekuja hapa sababu anaamini JF ni tanuru la fikra.

Kuna wakati wa kupanda Na wakati wa kuvuna hivyo tujitahidi tofautisha nyakati
Aisee watu wanakejeli tu lakini Kudisco kusikie kwa jirani mkuu...!! Unaweza kata tama ukachukua hata maamuzi ya ajabu snaa maana kupoteza miaka mitatu au miwili chuo afu familia ilijitoa kukusomesha maisha yenyewe haya aisee....Mungu amsaidie jamaa
 
Anajiona naye anajua eti
funza funza tu akili imejaa funza eti wewe ni discontinue mtarajiwa
Nendeni huko na GPA zenu za 2 huko mimi nimegraduate degree wewe upo primary funza wewee
eti funza wewe...
 
Sio dharau nigga. Ni reality. Nimepita huko mpaka masters. So napafaham vizuri. Nimpa tu quote kuwa maranying dip si yakufel unless ukiendekeza mambo fulani.
ac

ha dharau we mwehu, unajitia mjuaji kumbe hamnazo.
 
Kuna wat wanakejel ila hata hawajui lengo la huu uzi na sidhan kama hata wamesoma uzi wenyewe.. Kama hujui
kuhus Nacte nikwel utaishia kunikejel na kunidharau.

Mim nko hpa kutaka kufahamishwa kama kuna chochote kipya nisichojua juu ya jambo nililozungumzia hpo juu..
 
Mbona huelewek unauliza kuhusu kudisco na GPA ya 2 au umedisco tayari ??
 
Hapo inategemeana na chuo husika kwa mfano SUA wanaangalia GPA ba Credit hours, waweza kua na GPA ya 2 alafu Credit hours zisipofikia 16 kwa mwaka OFF YOU GO.
 
Una supp ngapi. ........kama zimezidi nusu ya masomo ulitakiwa urudie semester sio ku-disco .


Bado GPA inakulinda....

Jaribu kufuatilia mistake huwa ZIPO
 
Back
Top Bottom