plerocercoid
Member
- Jun 8, 2018
- 46
- 14
- Thread starter
- #101
Nitafuata ushaur wko mkuu..Hyo kwakwel hapan..
Nitafuata ushaur wko mkuu..Hyo kwakwel hapan..
Nitafuata ushaur wako mkuu..Nenda ofisini kawaambie GPA yako inaruhusu kufanya sapu sio disco....bado haujadisco mkuu pole Sana..labda kama ulikamatwa na illegal materials ila hutak kusema au pengine chuo chenu kimefutiwa matokeo kwa sababu ya kugushi ..
SA KAMA KADISKO UNADHANI CHUONI HAWAJUI GPA YAKE.Mkuu Alvin hatuongelei kupewa cheti hapa
Afya wanakaziwa dipu usidhan procurementUmedisco diploma??
Mie nahisi huyu jamaa atakuwa amesapu mara ya pili lakin hataki kutuambia ....aseme tu ukweli hiyo GPA ya 2 kaipata kwa mara ya piliSA KAMA KADISKO UNADHANI CHUONI HAWAJUI GPA YAKE.
YAWEZEKANA ALISAPU SOMO AKARUDIA AKASAPU TENA AKAFANYA LASTI ATEMPT AKAFELI KWA VYUO KAMA "SUA" HATA UKIWA NA GPA YA 4.5 UNAONDOKA TU
ndo manake GPA sio kigezo kutodiscoMie nahisi huyu jamaa atakuwa amesapu mara ya pili lakin hataki kutuambia ....aseme tu ukweli hiyo GPA ya 2 kaipata kwa mara ya pili
Nidanganye kwa faida yanan..Mie nahisi huyu jamaa atakuwa amesapu mara ya pili lakin hataki kutuambia ....aseme tu ukweli hiyo GPA ya 2 kaipata kwa mara ya pili
Aseme tu kama kafanya mara ya pili akapata GPA ya 2 na sapu that's why amekula umemendo manake GPA sio kigezo kutodisco
Mim nmefany mtihan first sit..SA KAMA KADISKO UNADHANI CHUONI HAWAJUI GPA YAKE.
YAWEZEKANA ALISAPU SOMO AKARUDIA AKASAPU TENA AKAFANYA LASTI ATEMPT AKAFELI KWA VYUO KAMA "SUA" HATA UKIWA NA GPA YA 4.5 UNAONDOKA TU
Ebu weka matokeo yako umepataje tuone tuanzie hapo kwanzaMim nmefany mtihan first sit..
ulichiti aisee funguka bhanaMim nmefany mtihan first sit..
Hiyo ni indicator ya kukuonyesha kuwa maisha yako hayako shuleni. Jipange na pigana kivingine. WanaJF unataka wakusaidie nini? Ni ngumu. Sheria za ulipokuwa unasoma zinafanya kazi. Ziheshimu.Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Nitaweka..Ebu weka matokeo yako umepataje tuone tuanzie hapo kwanza
Nicngekuja kutangaza matatzo yang hku wakat ukwel naujua.. ili iweje!?ulichiti aisee funguka bhana
umediscoje? umefatilia ofisi ya academic wamesemaje mana ndo wangekusaidia zaidiNicngekuja kutangaza matatzo yang hku wakat ukwel naujua.. ili iweje!?
Nilichohitaj hpa nikujua kama kuna vgezo vngne zaid ya gpa.. Nikipata uhakika bac nitaanza kufuatilia mwenywe namna yakujisaidia.Hiyo ni indicator ya kukuonyesha kuwa maisha yako hayako shuleni. Jipange na pigana kivingine. WanaJF unataka wakusaidie nini? Ni ngumu. Sheria za ulipokuwa unasoma zinafanya kazi. Ziheshimu.
Matokeo yamebandikwa jana, nko hpa ili kupata uhakika wakile nachopigania ili nikienda najua nafany kitu kwauhakika..umediscoje? umefatilia ofisi ya academic wamesemaje mana ndo wangekusaidia zaidi
hahahahaaaaaaa sa we jamaa unatupotezea muda kumbe hata Uongozi haujautaarifu na upo eneo la tukio. yawezekana wamekosea uchapaji. anza nao ndo uje hukuMatokeo yamebandikwa jana, nko hpa ili kupata uhakika wakile nachopigania ili nikienda najua nafany kitu kwauhakika..