Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
ac
ha dharau we mwehu, unajitia mjuaji kumbe hamnazo.UNA DISCO HATA DIPLOMA
ha dharau we mwehu, unajitia mjuaji kumbe hamnazo.UNA DISCO HATA DIPLOMA
Mkuu una roho mbayaKwa mwandiko huo hata mimi ningekudiskisha
Dah ubarikiwe sanUkitaka kujua tuna safari ndefu kufikia mafanikio jaribu angalia jinsi watu wanamjibu mleta Uzi hapa jukwaani, yani tumeshindwa kabisa kujua ni wakati gani tufanye midhaa Na wakati gani tuwe serious kidogo
Ndugu zangu kwa wale ambao wanamkejeli huyu jamaa eti poleni sana maisha ni safari Na kwenye hii safari kuna ups and down nyingi sana kama hujawahi pita kwenye hili huto kaa umuelewe huyu jamaa anapita kwenye kipindi Gani Sasa
Wito Na ombi langu tujaribu kuwa waungwana kwa maana kati yetu sisi hakuna aliye mkamilifu, tumsaidie kwa mawazo Na ndio maana amekuja hapa sababu anaamini JF ni tanuru la fikra.
Kuna wakati wa kupanda Na wakati wa kuvuna hivyo tujitahidi tofautisha nyakati

Amini mkuu,Dah ubarikiwe san![]()
Bwana mdogo umesoma chuo gani tukusaidieAmna kweny mfumo wa Nacte tunafanya mtihan wa wizara kila mwaka ambao unasahihishiwa wizaran.. Ukiwa na na gpa chini ya 2 ndo unadisco
Kama uko above ila kuna somo umefeli unawekewa sup zko. Gpa ya mwisho 4.
Inavyifahamika na nani? Unakipangia chuo?Kwa inavyofahamika mpaka iwe below 2..
Hata mimi nililiona hilo, shule za kata hizi, ndio haya matokeo yakeKama maabala ndo hiyo bora udisco
Dah hahahahaKwa mwandiko huo hata mimi ningekudiskisha
Dah...kwa Uzi huu...Bola umedisc tu...maan ungetualibiya maabala zetWakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!

Sio ishu ya chuo ni system ya NacteInavyifahamika na nani? Unakipangia chuo?
HaydomBwana mdogo umesoma chuo gani tukusaidie
Fwata haya..Sio ishu ya chuo ni system ya Nacte
Fwata haya..
1. Ingia kwenye web ya nacte angalia vigezo.
2. Nenda chuoni/nacte kaulize kama huna imani na matokeo. Watakwambia nini umekosea na watakupa way forward.
Kila la heri.
