plerocercoid
Member
- Jun 8, 2018
- 46
- 14
- Thread starter
- #21
Kama kuna mtu anayefaham kipya kilichobadilika anifahamishe.. Sielewi nin nifanye!
Kwa baridi ya haydom braza itakuwa umezidisha zile mambo...na wairaq wanavyopenda ukasahau ata kusomaHaydom
Kwa inavyofahamika mpaka iwe below 2..Kwa baridi ya haydom braza itakuwa umezidisha zile mambo...na wairaq wanavyopenda ukasahau ata kusoma
Anyways pole sana kudisco ni mpk uwe na GPA ya 2.0
Ndo ikogi hvy
Lab technicianMaabala ndo kitu gani?
Ni maabara sio maabalaLab technician
kudiskisha ndio nini? na wewe ni discontinue mtarajiwaKwa mwandiko huo hata mimi ningekudiskisha
Kama kuna mtu anayefaham kipya kilichobadilika anifahamishe.. Sielewi nin nifanye!
Mkuu shukran ila ningependa kufaham muongozo wa Nacte juu ya disco inapatikana vp.. Kwa yeyote anayefaham, samahan laknMkuu poleee sana ila sio mwisho bado hustling lazima ziendelee ila nipende kukutarifu sio kwako tu ni vyuo ving vina supplementary nying na dsco nying hapa tu nipo na rafiki yang wa chuo fulan kwao wamedisco 41

Below 2 ni kuanzia 1.9 au mi ndo cjui hesabuNko njia panda.. watu wananishangaa imekuaje wakat gpa ya 2 ni nusu ya 4 na haimfanyi mtu kudisco kwa mujib wa muongozo, ndomana npo dilemma
YapBelow 2 ni kuanzia 1.9 au mi ndo cjui hesabu
Awali kabla ya yote, wewe ni jinsia gani?Wakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Sio rahis kupitia neno had neno kwa hali niliyokua nayo..Kwa uandishi huu wa "MAABALA" lazma ungeishia kumtafuta mchawi tu, hata mie ningekutia ngwala
kunywa sumuWakuu mimi ni mwanafunz wa diploma mwaka wa pili kozi ya maabala. Kilichonifany niombe msaada kwenu ni kwamba inawezekana mtu akawa na gpa ya 2 na akadisco?
Nahitaj yeyote mwenye kufahamu juu ya hili anisaidie, npo dilemma!
Mi navofaham ni GPA below ya 1.8 then fatilia naambiwa hapa matokeo yamefutwa so mayb ni rumorsMkuu shukran ila ningependa kufaham muongozo wa Nacte juu ya disco inapatikana vp.. Kwa yeyote anayefaham, samahan lakn![]()
Kila la kheri..kunywa sumu
wakati wenzio wanasema we ulikuwa unafanya nini?

Ofcourse ni mood flan haipo sawa hawezi kuwa perfectly at allSio rahis kupitia neno had neno kwa hali niliyokua nayo..