daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
ni kweli maana huyo jamaa asingesimisha gari kama hakuona unafanana na aliyetumwa kumlinda binti wakati ametumwa na wazazi!kupambana na wanaomsogelea demu wangu.
ni kweli maana huyo jamaa asingesimisha gari kama hakuona unafanana na aliyetumwa kumlinda binti wakati ametumwa na wazazi!kupambana na wanaomsogelea demu wangu.
uvumilie....kwa hiyo?
Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
hata nikitafuta hela kiasi gani bado kuna watu watanizidi tu, hapa mwanamke anatakiwa atulie, si kwamba sina kitu kabisa, mtaani kwetu na mimi nipo juu, ila nikitoka tu nje ya pale kwisha.
Nakuelewa sana ndugu yangu.
Kuna best friend wangu mmoja aliwahi asingeweza ku-date na girlfriend kama wangu kisa ni mzuri sana. Anyway, kuwa na girlfriend mzuri sana nayo ni mtihani in itself, hasa hasa ukiwa mtu wa kipato cha chini. Kitu cha kuombea nii kwamba awe na nidhamu, la sivyo utakufa kwa pressure.
Me nimezoea bhana, ukiingia restaurant, ukumbi mzima unastop for a second.
Note :: Ukitaka mpenzi mzuri sana, ujuwe kuna wengine wengi pia wanamtaka.... jiandae kwa lolote.
We demu mzuri unamtembeza vp kwa mguu?! Huko kichwani zinakutosha kweliii?