Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,552
- 21,678
Ha ha......pole mwaya.......siku nyingine jitahidi hata kuwa na bito angalau upunguze ashda.......
Atabeba sembe sasa!
Ha ha......pole mwaya.......siku nyingine jitahidi hata kuwa na bito angalau upunguze ashda.......
hata nikitafuta hela kiasi gani bado kuna watu watanizidi tu, hapa mwanamke anatakiwa atulie, si kwamba sina kitu kabisa, mtaani kwetu na mimi nipo juu, ila nikitoka tu nje ya pale kwisha.
Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
Usiwe unatoka nje ya mtaani kwenu sasa ye mwisho wake iwe mtaani kwako ambako ww ndo tajiriii
hata nikitafuta hela kiasi gani bado kuna watu watanizidi tu, hapa mwanamke anatakiwa atulie, si kwamba sina kitu kabisa, mtaani kwetu na mimi nipo juu, ila nikitoka tu nje ya pale kwisha.
Atabeba sembe sasa!
Ha,ha,ha,haaaa.Mwenye nacho ataöngezwa,na asiyekuanacho hata kile anachodhani anacho atanyang'anywa.KWANI WEWE HUSOMI MAANDIKO?
Hapo hajachukua uko nae jiulize hua anasumbuliwa mara ngapi akiwa peke yake je hua anakubali au anawakatalia????
mbona hujamalizia stori yote? Halafu embu niambie hayo magari makubwa yanayoitwa v8 yakoje?yametengenezewa wapi maana nijuavyo kuna nisani diesel v8 ambayo ni malori na kuna range.ford n.k na hayo ni kutokana na ukubwa wa engine.
ipo siku nitaua mtu mama la mama.
We demu mzuri unamtembeza vp kwa mguu?! Huko kichwani zinakutosha kweliii?
We demu mzuri unamtembeza vp kwa mguu?! Huko kichwani zinakutosha kweliii?