Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 958
malizia wewe, mjinga kabisa wewe.
kwani mimi nilikuwepo? Mpenzi wako alitoa namba au hakutoa?
malizia wewe, mjinga kabisa wewe.
malizia wewe, mjinga kabisa wewe.
Atakua punguone huyu hahaha asubir kugongewa huku anaona
Jana nikiwa natembea
barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye
gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu,
hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa
akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi
ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho
ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana,
kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo
niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na
mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
mzingo km unaita lzm umtokee alafu unaona mtu wake kachoka km kisu IPO shida yanni unalamba tuheee! pole mi nilifikiri wanaume huwa wanapendana! loooh mtu anaona yuko na mtu na bado anamnyemelea!
We demu mzuri unamtembeza vp kwa mguu?! Huko kichwani zinakutosha kweliii?
Kuna hadithi ilikuwa katika vitabu vya shule ya msingi - usifurahi mwanzoni. Maisha ni safari ndefu ipo siku watamchukua tu. Ukiwa naye faidi akiondoka jutia. Kwani ulimkuta hajaguswa?Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
Jiandae kisaikolojia kupokea maumivu mazito mbeleni.
kwa hiyo unanikatisha tamaa au?
ningekua mimi ningemuuza....dem kitu gani si ushakula ama....chukua hela sepa!Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.
we tafuta hela ya bastola tu akisimamisha unachomoa unamtupa nje unaendesha we na dem wako! kwani bastola ni ghali kama V8?Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.