Nimedhalilishwa mbele ya demu wangu.

Nimedhalilishwa mbele ya demu wangu.

Jana nikiwa natembea barabarani na demu wangu mitaa ya gomz, akapita mwanaume yupo kwenye gari lake kubwa aina ya v8 akasimamisha na kumsalimia demu wangu, hakuitikia, huku tunatembea na jamaa anaendesha gari lake taratibu jamaa akaanza kuomba namba ya simu pasipo kujua au kwa makusudi tu kuwa mimi ni jamaa yangu, kweli demu wangu ni chombo na nikitembeaga nacho macho ya wanaume hayakatiki. Naomba wanaume wenzangu tujaribu kuhurumiana, kweli mimi choka mbaya, maisha magumu bado tu wenye pesa hamtaki japo niwe na demu mkali wa kupunguza makali ya maisha? nyie mmepewa pesa na mimi nimeambulia demu mkali, acheni uroho wanaume wenye pesa.

Vipi demu wako alimpa jamaa namba ya simu?! Kama alimpa "umeumia"...
 
Mwenye kisu kikali ndie hula zaidi, vitu vizuri vinawenyewe utakufa wivu tafuta size yako vinginevyo utaendelea kuumbuka.
 
kwanza aache ujinga wake wa kulialia hapa, kama huna pesa hata demu mkali huna haki kuwa nae! na Kama huyo demu ni mkali kweli basi nae hajitambui na hajui thamani yake. Mademu wakali ni kwa wenye pesa tu!! nyinyi choka mbaya tafuteni wa hadhi yenu!

money cant buy love hata siku moja....NOT MY LOVE.(ni vitu vidogo sana vinavyoweza vikamfanya mwanamke ampende sana mwanaume hata kama wakiishi maisha ya kimaskini,ambavyo wanaume wengi hawatambui hilo).Na wanaume wengi wenye pesa huwa wanadharau na kuwatreat wanawake zao like trash only bcz they can buy them cars,and other materials things...nakwambia mwanamke anaejitambua hashabikii kupata mwanaume mwenye pesa ila she works hard to be a rich woman,hakuna kitu kizuri kama kuwa independent,i dnt need ur dime to survive.
 
we jipe moyo tu, motto mzuri unamtembeza kwa miguu kama mnaenda matembezi ya hisani, jamaa kaona kuwa huna uwezo wa kummiliki huyo motto mzuri, na hapo demu wako kajikaza tu, ngoja akiwa peke yake atamuelekeza mpaka kwao.
 
aiseee, una roho ngumu sana kama ndivyo ulivyo.
angekuwa mwenyewe angetoa number na papuchi kama kawa na wala usibenefit chochote labda ukimwi! kipi bora atoe and ubenefit ama? uwezi rusha jiwe on earth likaelekea juu bila kuirudi labda on Mars thats nature! women by nature wants a powerfull man even non-homo sapiens
 
money cant buy love hata siku moja....NOT MY LOVE.(ni vitu vidogo sana vinavyoweza vikamfanya mwanamke ampende sana mwanaume hata kama wakiishi maisha ya kimaskini,ambavyo wanaume wengi hawatambui hilo).Na wanaume wengi wenye pesa huwa wanadharau na kuwatreat wanawake zao like trash only bcz they can buy them cars,and other materials things...nakwambia mwanamke anaejitambua hashabikii kupata mwanaume mwenye pesa ila she works hard to be a rich woman,hakuna kitu kizuri kama kuwa independent,i dnt need ur dime to survive.

sure, u have hit the point.
 
angekuwa mwenyewe angetoa number na papuchi kama kawa na wala usibenefit chochote labda ukimwi! kipi bora atoe and ubenefit ama? uwezi rusha jiwe on earth likaelekea juu bila kuirudi labda on Mars thats nature! women by nature wants a powerfull man even non-homo sapiens

mimi siwezi, nitaendelea kumpigania pamoja na umasikini wangu bcoz i love her very much, ila nikishindwa basi.
 
That's how life is ie.not fair.Chunga sasa asije akawanunua wote wawili unashangaa dem anaanza kukuhonga.
 
mimi siwezi, nitaendelea kumpigania pamoja na umasikini wangu bcoz i love her very much, ila nikishindwa basi.
kama we mwenyewe umekubali we ni maskini ni wazi pia naye ameliona hilo na analifanyia kazi! we subiri kuambiwa "jamani baby lini tena tutatembea kwenye ile barabara...halafu mi nilimchukia hukoooo! kufika hapo utajua kwishaaa kazi yako.....! hahahahahahah relax brooo your note her type we hapo unawachungia wanaume wenye ubavu!
 
Back
Top Bottom