mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,413
- 8,397
Ndugu zangu naomba msaada katika maisha yangu nimedanganywa mara nyingi lakini mara tatu nimefanywa mjinga hadi najiona sifai
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza
1.nilidanganywa na mwanaume akanizalisha akaniacha
2.nilipata mwanaume mwingine akanitapeli kumbe ana mke na watoto
3.nilikutana na mume aliyenizalisha akaahidi kunisaidia kutunza mtoto kibaya mazingira yalinifanya nishirikiane nae kanitosa tena
chonde naomba msaada wa mawazo lakini msinitukane mtazidi kuniumiza