JF kuna mambo
Mkuu ilishanikuta hyo,aisee hata kama una ugumu wa miaka lazma hamu ikotuke na mood yote ikatike ila mimi nilifanya hivo hivo baadae akaja akalia sana akasema ana jini sijui ambae anamfanya ajiskie vile ili anikate mood na bla bla bla
Kwa hiyo unashea papuchi na jini?
kweli mkuu aisee... wanajitahidi kutugawa ili watutawale lakini naona mchezo umeshindwaBora ushee na jini papuchi kuliko kumpa kura mkoloni ccm..
Tukutane oct 25 na vichinjio vyetu tumtoe mkoloni mweusi ccm