Nimechoshwa na maelekezo yake 6x6

Nimechoshwa na maelekezo yake 6x6

Sa kam humkuni vzr kw nn usielekezw?
Kuna watu wengne so mazezeta kweny hzo mambo,

wala sion kosa!
 
Sasa asipokuelekeza, unataka nani ampe anachokipenda kitandani? Shukuru anajua anachokitaka na anakuelekeza, mwingine angemtafuta anaejua kisha kwako akawa anaigiza.

Hamna lolote ila hapo inaonyesha hata angempata wa aina gani hayo maelekezo yatakuwepo tu. Naona mapepe yake tu.
 
Fuata walau 'standard operating procedures' SOP's, ila nakushauri ufanye Expert operating procedures EOP....over!
 
Mrejesho: Juzi kati mama maelekezo kaja ooh beib Missn u laik crazy... mi nikamwangalia tu akajishebedua pale baadae ujasiri ukamvaa, akaniuliza kwanini siku ile nilimwacha!

Nikamwambia we Sema unachotaka. Ooh nataka match ya marudio nikamshika kiuno nikazama nae room... nimeanza yangu si akarudia maelekezo yake...

nikamvalia hear plugs akachezea kichapo ... sasa haniiti tena hubby sijui love ananiita babaa!
Fuata walau 'standard operating procedures' SOP's, ila nakushauri ufanye Expert operating procedures EOP....over!
 
Mwanamke wa hivo anaboa sana Mimi nilimpa madole matano ya shahada kwenye tgo nikasepa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom