Kusoma ni uwekezaji ilibidi toka mwanzo ujue kuwa you are investing in yourself hivyo ulitakiwa uangalie huo uwekezaji uko sahihi mbeleni sio ungesoma kitu kingine.Sasa kama unaona ulikosea re train.Anza kusoma vitu vingine ukiwa kazini .Ualimu unalipa Ila ni taratibu kwa mtaka chap chap haulipi.
Binafsi naona tatizo lako sio kazi ya ualimu,ualimu unauchukulia kama kisingizio,wana JF hebu fikiria mtu wa degree akianza ualimu baada ya miezi mitatu akiwa na salary slip zake 3 anakopesheka na NMB 15,400,000 CRDB ni 16,500,000 yaana gross salary mara 21 sasa hizo hela umefanyia nini mpaka ukate tamaa hivyo. wenzio wakipata milioni mbili tu wanatoka kimaisha, acha ualimu kajaribu mtaani baada ya mwaka ulete mrejesho
Kiukweli mimi sio msomi kabisa, ila kwa rumba wanalopitia waalimu, siwezi kuifanya hiyo kazi. Ila kama yupo mikoa ya morogoro, mbeya, na Sumbawanga, na awe wilayani sio mkoani akiacha kazi hawezi kujuta.
Fursa zipo kibao.
Binafsi naona tatizo lako sio kazi ya ualimu,ualimu unauchukulia kama kisingizio,wana JF hebu fikiria mtu wa degree akianza ualimu baada ya miezi mitatu akiwa na salary slip zake 3 anakopesheka na NMB 15,400,000 CRDB ni 16,500,000 yaana gross salary mara 21 sasa hizo hela umefanyia nini mpaka ukate tamaa hivyo. wenzio wakipata milioni mbili tu wanatoka kimaisha, acha ualimu kajaribu mtaani baada ya mwaka ulete mrejesho
Wewe ni loan officer au unatuletea ujuaji wa kahawani?!??
Tanzania Mwl wa Degree basic salary ana 730+
Kama hana mkopo (hapa kwa walimu ambao hawana mkopo nahisi ni 1% kwani education ilipewa kipaumbele na loan board) take home ni kama 550 hivii
Kama ni mnufaika wa mkopo take home ni 450 hivii.
Kimbembe kinakuja kwenye ukopaji lazima ubaki na ⅓ ya salary!!! ⅓ ya 730 ni kama 250 hivi, so ukichukua 450 ukatoa 250 unabaki na 200 ya kukopea!!!
Benki zinakopesha kwa muda wa miezi 60 mpaka 72
Though ukichukua 200 mara 60 unapata 1200 ukikata interest na bima kwenye 1200 unabaki na 800
Hizo milioni 15 na 16 unazitoa wapi?!?!
Back to topic, Mwl Acha kazi! Kuwa mtumishi wa umma Tanzania ni zaidi ya utumwa
Kiukweli mimi sio msomi kabisa, ila kwa rumba wanalopitia waalimu, siwezi kuifanya hiyo kazi. Ila kama yupo mikoa ya morogoro, mbeya, na Sumbawanga, na awe wilayani sio mkoani akiacha kazi hawezi kujuta.
Fursa zipo kibao.
Ualimu sio tatizo kabisa kabisa... Tatizo no akili yako. Walimu wangapi tunao mtaani tunawaona. Sio matajiri lakini wanarndesha maisha yao ya kila siku kwa viwango vile vile vya wtu wengine ambavyo kwa wengi wetu ni kujenga kinyumba, kigari na kusomesha watoto. Sidhani kama mshahara wa mwl unazidiwa sana na mishahara mingine ya central govt. Tatizo ni akili ya mwl husika.
Kazi ya ualimu pote duniani ina chamgamoto soma hii
I will never return to teach in England’: the UK teachers finding refuge abroad
An estimated 15,000 teachers are snapped up overseas each year, driven away by the stress in British schools
Donna Ferguson
Tue 2 Oct 2018 07.14 BST Last modified on Fri 5 Oct 2018 17.00 BST
Freya Odell, who teaches in Rome, says the English education system is broken. Photograph: Remo Casilli
The English education system is broken, says Freya Odell, a state secondary school teacher with 18 years’ experience. This month, she followed in the footsteps of thousands of other talented, fed-up teachers and moved abroad – in her case, to St George’s British International School in Rome.
“It wasn’t a difficult decision. My job in England took over my life. Over the past year, I had stopped laughing and smiling. I had lost all sense of who I am.”
Despite being director of learning, literacy lead and director of English at her previous school, Odell, 38, had to teach 20 out of 30 lessons and mentor three new staff. “I had to get up at 4.30am to get everything done, returning home at 7pm and working for another hour before bed, as well as at weekends.” She offered to take a pay cut to reduce her teaching load, but was refused.
In Italy, she has been allocated the same amount of teaching but none of the responsibilities – and she will teach a class of 16 children, instead of 34. “If St George’s will have me for ever, I will never return to teaching in England,” she says.
As the new school year gets under way, an Education Policy Institute report has highlighted how the government’s failure to recruit enough trainee teachers to stem the flow of experienced staff leaving the profession has led to a “severe shortage” in England’s schools.
‘Every lesson is a battle’: Why teachers are lining up to leave
It is estimated around 15,000 teachers leave the UK each year to join an international school – and nearly half (47%) are dissatisfied with the British education system, according to a recent survey of 1,600 teachers at British international schools by the Council of British International Schools (Cobis). Around a third (32%) were thinking about leaving the profession altogether before they took on an international job.
Headteacher Binks Neate-Evans moved to a school in Jeddah, Saudi Arabia.
“There’s a toxic mix of factors, created by this government, that is making teachers decide they cannot teach in England in particular any more,” says Mary Bousted, general secretary of the National Education Union. “The low net pay of teachers means many cannot even afford rent. There is systemic overworking, with teachers routinely working 55 hours a week, and a vicious accountability system, which means teachers are not given the time and support to get better at what they do.” It reflects badly on the government, she says, that so many highly qualified teachers are going abroad. “It’s not that they don’t want to teach, it’s that they don’t want to teach in the context we’ve created in this country, and the government is responsible for that. We are haemorrhaging teachers, particularly at secondary school level.”
Teaching timetables in the UK are similar to the OECD average. “But our teachers spend twice as long as other teachers in high-performing OECD countries preparing lessons, assessing and looking at data. It is that, combined with low pay, which is driving teachers away. The very measures the government has taken to police standards are decimating the numbers of teachers in the classroom and lowering educational standards.”
Meanwhile, four in five British international school teachers say they are happy or very happy with their new jobs, according to the Cobis survey. “Other countries exercise much more trust in their teachers,” says Bousted. “They enable their teachers to concentrate on what’s important.”
Over the next 10 years, it is expected that international schools will require up to 230,000 more teachers to meet staffing needs – 145,000 of them will be recruited from the UK, ISC Research predicts. If so, according to Schools Week, international schools could snap up more than half of all the UK’s trainee teachers over the next 10 years to meet their targe
According to Nick Gibb, the schools minister, more than 14,000 teachers returned to teaching last year, many of whom had been working abroad. “A period teaching in another country has always been an option which adds to a teacher’s experience,” he said.
In Italy, Odell enjoys lower living costs and free lunches, so expects to be better off despite a lower salary. “I feel optimistic that I’ll develop as a teacher here while still maintaining a healthy work-life balance.”
This was partly why Binks Neate-Evans moved to Jeddah, Saudi Arabia, this month as head of prep for a prestigious fee-paying school. In the UK she worked 65 to 70 hours a week as the head of an outstanding infants’ school in Norfolk, where 90% of the children came from the poorest 10% of postcodes in the county.
Tories and Labour both to blame for driving our teachers away
She says: “We had very limited resources. If you have a child with significant behaviour challenges because of childhood trauma, you need access to a clinical psychologist. For example, there was a child we worked with tirelessly to keep in school, to keep him safe. He absolutely needed specialist support but children’s mental health services said they were taking only life-threatening cases.”
The child was later excluded from junior school. “Despite government spouting off about the importance of early intervention, it wasn’t there. Due to this lack of resources, the needs of very young children at my school were not being met.”
The job left her with high blood pressure and, like her colleagues, she suffered chronic stress and insomnia. “I feel like I’ve done my bit and I was not prepared to compromise my personal health.”
With 23 years’ experience as a teacher, 12 as a head, she found it easy to get a job abroad, choosing Jeddah because the teaching profession seemed highly valued there. Now her earnings are tax-free, her transport to work is paid for, and she has a complimentary two-bedroom flat. “It’s the equivalent of getting a six-figure salary in the UK.” She is not sure she will work in Britain
Homeless teachers: ‘I wouldn’t talk about it, I was so ashamed’
Jenny Anderton (not her real name), 51, who taught at state primary schools in southern England for more than 10 years, says that in the UK she was “more of a social worker than a teacher”. She is now teaching in Seville. “I love teaching, but it was frustrating at my UK school – there was a lot of paperwork and meetings for the sake of meetings,” she says.
The last straw came when a child who had severe emotional issues was excluded. “I had flagged up that he needed help. He was a child in crisis.” Instead of supporting him, the school involved the police when he bit another teacher.
Anderton’s wages are £500 less a year but she is confident she will be better off because of the lower cost of living. “I’m looking forward to being appreciated, rather than having the whip cracked over me all the time, and enjoying my job again, rather than being comatose at the end of every half term. The focus in the UK on attainment, when social services is on the brink, is bonkers and exhausting. I’m not planning to ever go back.”
“Teaching in the UK is a thankless task,” says Victoria Mitchell, 39, who has taught at state primary schools in Nottingham for 11 years. She took a job at an English language school in Puglia, Italy, this month. “In the UK we’re set unrealistic targets and, compared to when I started, there’s little support. Things just get swept under the carpet.”
She left a previous school after she discovered a leader from the academy chain lurking in the corridor, monitoring her teaching through a window. “I felt I was constantly being watched.”
Her GP advised her to get a new job and, along with 11 other experienced teachers at that school, she did. But her new school was equally stressful. “Everybody was still under immense pressure. I love teaching PE, music and art and am passionate about languages. But in the UK, the focus is entirely on maths and English.”
After holidaying in Puglia, she decided to send her CV to all the language schools there and received three job offers. “I chose the one that seemed the best fit for me.”
On her last day of the UK summer term a parent yelled in her face. “I drove home from my final ever day in a primary school in this country in tears.”
Wewe ni loan officer au unatuletea ujuaji wa kahawani?!??
Tanzania Mwl wa Degree basic salary ana 730+
Kama hana mkopo (hapa kwa walimu ambao hawana mkopo nahisi ni 1% kwani education ilipewa kipaumbele na loan board) take home ni kama 550 hivii
Kama ni mnufaika wa mkopo take home ni 450 hivii.
Kimbembe kinakuja kwenye ukopaji lazima ubaki na ⅓ ya salary!!! ⅓ ya 730 ni kama 250 hivi, so ukichukua 450 ukatoa 250 unabaki na 200 ya kukopea!!!
Benki zinakopesha kwa muda wa miezi 60 mpaka 72
Though ukichukua 200 mara 60 unapata 1200 ukikata interest na bima kwenye 1200 unabaki na 800
Hizo milioni 15 na 16 unazitoa wapi?!?!
Back to topic, Mwl Acha kazi! Kuwa mtumishi wa umma Tanzania ni zaidi ya utumwa
Uache kazi ili uwe nani? Omba omba? Kama unaweza, omba ruhusa urudi shuleni ubadilishe fani au kuongeza elimu. Au ujikite katika shughuli nyingine za uzalishaji mali. Kazi ni shughuli ya kukupa kianzio pia kuku sustain wakati unapambana na shughuli nyingine. Mfano kwa muda ambao umekaa kazini, ungekuwa umechukua mkopo, ukaenda kununua shamba na kulima mikorosho, by now ungekuwa unavuna na kuingia kwenye payroll ya pili ya Magufuli kwa kupitia korosho.
Nakushauri tu usiache kazi. Maana kama unataka kuacha na haujui utafanya nini baada ya kuacha basi kuna shida mahali.
Inaonyesha hauna mipango na maamuzi sahihi, utakuwa kitindamimba wewe. Ulishazoea watu kufanya maamuzi kwa niaba yako hivyo huwezi fanya yako binafsi. Jitafakari kwanza kabla ya kuitafakari kazi unayofanya.
Fanya biashara kila weekend ukiwa free, pia anza biashara ambayo haikuhitaji moja kwa moja hii unaweza kuweka mtu akuasimamie ila uwe unakwenda kwenye hiyo biashara mara kwa mara. Ukiona biashara zimesimama andika barua ya kuacha kazi.
Kuna biashara za jioni pia akitoka kazini aweza fanya baba nitilie, choma chips,mishikaki, nk .Tatizo kama akimaliza kazi kama anaenda kulala anasubiri kuamka kesho aende kazin umaskini haukwepeki
Kuna biashara za jioni pia akitoka kazini aweza fanya baba nitilie, choma chips,mishikaki, nk .Tatizo kama akimaliza kazi kama anaenda kulala anasubiri kuamka kesho aende kazin umaskini haukwepeki
Mwalimu complicator kama ulikuwa una tabia ya kupumzika baada ya kutoka kazini nakushauri uache, tumia huo muda kwa kutafuta kipato cha ziada. Asante sana mkuu kwa mchango wako
Hii ni aina ya maamuzi ya kukurupuka na kuiga iga unaachaje kazi bila ya wewe mwenyewe kujua unaenda kufanya nini mbadala unataka watu wengine wawaze kwa niaba yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.