Bhagavan
JF-Expert Member
- Oct 28, 2017
- 2,029
- 2,948
Mkuu umesema wanaoacha "Nazi"???Wanaoacha Nazi hawasemibwana acha uongo
Mkuu umesema wanaoacha "Nazi"???Wanaoacha Nazi hawasemibwana acha uongo
Ni maamuzi mazuri,ila hakikisha kwamba your Plan B is better.Kama ni kazi nyingine umepata na ni nzuri zaidi,na kama unataka kufanya biashara ni biashara inayolipa,una mtaji na unaweza kuifanya kwa mafanikio,vinginevyo utalia.Wadau,nimechoka na hii kazi nataka niiache mara moja sababu naona hakuna future,kila siku ni matatizo tu hakuna kinachokaa mkao
Naombeni mwongozo mlowahi acha kazi.
Umefanya kwa muda gan? Ni ualimu?Mwaka huuhuu
Kuna uzi tushawahi kutana nikakujibu hili swali ...sjafanya mda mrefu i mean haikuwa zaidi ya miaka mitatuUmefanya kwa muda gan? Ni ualimu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sasa wewe unataka kuacha kazi halafu bado unaenda kazini. Acha kwenda kama kweli unataka kuacha
Duu! Mbona umembamiza kiasi hiki?Hana Akili, I'm sorry though.
Kazi ipi unayoijua kuwa ni rahisi Duniani?Wadau,nimechoka na hii kazi nataka niiache mara moja sababu naona hakuna future,kila siku ni matatizo tu hakuna kinachokaa mkao
Naombeni mwongozo mlowahi acha kazi.
Hehhehehe......siku hizi watu wasiotumia akili zao vizuri wanazidi kuongezeka....
HV unawezaje kuwa na mawazo ya kuacha kazi wakati huna mwongozo na unategemea miongozo ya watu wengine juu ya maisha yako??
Jipange tena.
Kuajiriwa ni utumwa hata kama kipato ni kikubwaKweli kuajiriwa nï utumwa, hasa kama kipato ni kïdogo na una malengo makubwa, kumbuka kujiajiri ni kitu kizuri lakinï kuna hitaji mipango, umejipanga?