Nimechoka na kazi ya ualimu!

Hivi FUTURE ni nini na inapatikana wapi enyi walimu kwa kadiri mnavyofundisha wanafunzi wenu? Halafu hicho ndio kipimo bora cha akili, acha kazi upime uwezo wako wa kutafuta hiyo "future" la msingi usimuige mtu. Tambua vipawa na miito yako uvitumie ku-pursue kile unachohisi ndio mafanikio ya kwenye ndoto zako.
 
Komaa kiume usikilize moyo wako bado mapema ukiendelea muda utaenda lakini utakuja kujikuta unafanya jambo ambalo ungelifanya leo miaka kumi ijayo, what a waste of time !
The only thing unapaswa kufikiria ni namna ya kuacha maana ziko version nyingi kutegemea na factor zako mwwnyewe.
Wengine wanaacha ghafula na mtikisiko unakuwa mdogo tu , na wengine wanaacha polepole ; you choose your strategy ila uamuzi mzuri especially kama kuna eneo lingine ambalo unaiona huko moyoni future yako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom