Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
u
Acha kumtisha mkuu..Acha kichwa kichwa then uingie mtaani uone kulivyo...
Simtishi..unapotaka kuacha kazi inabidi uwe na plan b tayari ambayo itafanya kazi..sasa huyu hata kujishauri tu mwenyewe ameshindwa unategemea nini mkuu??Acha kumtisha mkuu..
Uliacha kazi mwaka gan?Achana na hiyo kazi mkuu,nilishawahi pitia situation unayopitia now
Hana Akili, I'm sorry though.Kuna ndugu yangu anamiaka 30 anaitafuta hiyo toka 2015 hajaipata wewe unaiacha ama kweli tunatofautiana mahitaji.😱
Mwaka huuhuuUliacha kazi mwaka gan?
Wanaoacha Nazi hawasemibwana acha uongoWadau,nimechoka na hii kazi nataka niiache mara moja sababu naona hakuna future,kila siku ni matatizo tu hakuna kinachokaa mkao
Naombeni mwongozo mlowahi acha kazi.