Nimechanganyikiwa.

Nimechanganyikiwa.

Najua lazima useme hivyo lakini ninchojua wanawake hawasahau kupenda!
Anaye kupenda mpende kweli!

Weeeee mie sina moyo wa kupenda ile ya mwaka 45. sasa hivi full usanii, ujinga kwenda kurudi mbona full ujanja
 
Pole sana piga moyo konde!

Ina maana haukuwai kwenda kwao kutambulishwa?

hapa sasa ndo umeuliza swali kwa uwazi zaidi sio kama pale juu,mm mwenyewe nmetaka kufahamu ina maana hakukutambulisha kwao toka hatua za mwanzo za uchumba maana hadi kufikia kufunga ndoa ina maana mko kwenye hatua za mwisho za uchumba
 
wala usiwe na wasi wasi dhambi ya ukabila itawatafuna hao watu...kuachana na mpenzi inauma hasa kama uliweka expectations kubwa km wewe za kuolewa...wanaume wengi tunawasikiliza wazazi hasahasa mama zetu..ila cha kuzingatia ni kwamba samtyms unapitia baadhi ya wanaume ili ujifunze ktk maisha si kila mwanaume uliye naye unatakiwa kuoana nae wengine ni experience tu..nime-reproduce thread ya jamaa flani hivi...so usiwze dada wanaume wapo wengi utapata tu mwengine...amen...ova..
 
dah kwa situation ilivyo lazima uchanganyikiwe so kama vip we kunywa sumu ya panya ufe zako
 
hakuna lolote hakutaki tu........

Ila likuepukalo lina kheri nawe...chapa lapa
 
pole dada, lamsingi ni kukubaliana na ukweli uliopo, jipe moyo konde usonge mbele, ushukuru hakuamua kukupiga pingu za maisha kaanza jionyesha mapema
 
Usijali, utampata mwingine umeepuka kufunga pingu za maisha na mama's boy. Shukuru mungu, songa mbele. Usijali watu wengine watakuonaje maana hawakuongezei wala kukupunguzia chochote. Kwani wanaume wapo kanisani na ofisini tu?? Sidhani kama itakuwa turn-off.

Lakini mbona naona kama umesikitika zaidi kutokuolewa kuliko kutokuolewa na mchumba wako? Tulia kidogo angalia usikurupuke kukubali kuolewa na the next person atakaonesha kuvutiwa na wewe. Inaelekea hamkuongelea mambo mengi, hasahasa kabila lenu kabla ya kuchumbiana.

All the best.
 
huyo kachoka kukugegeda bwana...kwani mwazoni alikuwa hajui kuwa mama hapendi kabila lako....wanaume wabaya acha tuu
kubali kuwa umetumika move on na utapata mume kamili ila usikae ukafanya kosa la kutoa papuchi kabla ya kuuliza mambo ya dini na kabila na mtazamo wa huyo mwanaume

Sometime huwa nakukubali... Ila sometime huwa unaniboa.....

Mtoa mada kuteleza sio kuangua.... Amka jikung'ute vumbi songa mbele.... Et utaanza mahusiano na nani? Kwa uliambiwa kuna mwanaume mmoja tu??????
 
Ukiona umependwa ujue kuna ---- katendwa na ukiona umetendwa basi ujue kuna mjanja kapendwa,love is an art,dont panic ,take easy!utapata mwingine
 
Asante Natalia... Hayo mawazo nitayapata baadae, saivi niko kwenye maumivu ambayo ni makali sana. Ni bora ningekuwa binti mdogo, mimi ni mdada mkubwa hata sihitaji shule tena.

Ni ukubwa (umri) gani huo ambao hauhitaji shule? Amekushauri urudi college ili iwe njia ya kujiweka busy na hivyo kusahau haraka hili jambo. Hata hivyo sio lazima urudi shule, unaweza kutafuta shughuli yoyote itakayoifanya akili yako izame kwa hiyo shughuli ili umsahau au usahau kusikilizia maumivu. Pole sana, jipe moyo kuwa hii hali itapita na utapata furaha. Be strong and move on.
 
Pole sana ila amini kuwa mungu ana makusudi yake kutengua hayo mahusiano kabla hamjaoana. Kila msiba una heri ndani yake. Tulia bibie, relax utapata anaekufaa ule bata hadi kuku waone wivu kwanini hawaliwi wao.
 
Habari wana MMU? Nilikuwa na mpenzi wangu ambaye tulikuwa tunapendana sana na tulipanga Mungu akijaalia tufunge ndoa mwaka huu mwishoni. Sasa leo ameniandikia meseji akiniambia Mama yake amemwambia hawezi kunioa mimi kwa sababu sio wa kabila lake, na yeye kasema hawezi kuacha kumtii mama yake.

Ameniomba tuachane na hivi sasa mama yake amemuunganishia kwa msichana mwingine ambaye ni kabila lao. Hapa nawaza na kuwazua hivi naanza mahusiano na nani? Wanaume wote sio kanisani, ofisini walikuwa wanafahamu mahusiano yetu na waliyaheshimu. Leo hii naanzaje kusema niko single? Ndoto ya kuolewa naona imepaa.

Naombeni ushauri wenu wana MMU, haya mambo yamenichanganya sana.

achana naye huyo, hakufai maana bado ni mtoto..utoto unamsumbua, akikua ataacha tu
 
Jamani kupata anaekupenda kwa dhati ngumuuuu!! Pole lakini hebu tuambie kabila gani hilo?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
pole sana lakini hapo inawezekana kuna kitu Mungu kakuepushia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom