Yaani kweli limkutalo mtu ndilo limtokalo..sasa kwa kuwa wanaume wapo wengi asiwaze??anasema hivyo kwa kuwa wote wanaomzunguka walikuwa wakinfahamu huyo aliyempiga chini.
Sasa atakapoonekana ana uhusiano na mtu mwingine hachelewi kuitwa kicheche na.ndo mwisho wa kuolewa ataendelea kugegedwa mpaka kiama
alafu kweli....huyu sasa atakuwa wakugegeda tuuu...duh kazi anayo