Nimechanganyikiwa.

Nimechanganyikiwa.

Asante. Inauma sana, hata usingizi hauji kabisa.

pole mwaya,songa mbele na maisha yako, kwanza hujazaliwa nae mlikutana kimjinimjini, kubali yaishe la sivyo utajikondesha kwa mawazo wakati ndio imetoka,huyo alikua c muoaji!utampata uliepangiwa na Sir God usijali!
 
Wengi hudhania kuwa ndoa ni unganiko tu la wenzi wawili na kufanyika mwili mmoja, lakini husahau kuwa pia ni unganiko la familia mbili na ndio maana huambatana na chagizo la sherehe(harusi) na nderemo. Uliyekuwa unamuita mama watu8 baada ya ndoa jinale hubadilika na kuwa mama. vivyo hivyo kwa baba na ndugu wengine kila mmoja kwa nafasi yake.
Hivyo basi kama wewe ni mwanamke au mwanaume wa Kiafrika kuna mambo ya kuzingatia kabla ya kujihusisha na mahusiano yapelekeayo ndoa.
1. Kabila
2. Imani za dini
3. Tabia
4. Kipato
5. Mengineyo
Hiyo ni baadhi tu ya mitazamo tofauti ambayo ipo kwenye familia zetu za Kiafrika, ingawa si kila familia hutilia mkazo lakini zipo kaya ambazo hadi sasa zimekuwa waumini wa dhana hizo.
Mifano ipo mingi na mingine ipo wazi sana na tumekuwa tukiishuhudia kila iitwapo leo. Mathalani si haba kukutana na malalamiko ya mtu wa dini fulani kukutana na kikwazo cha kuoa au kuozwa kwa kuwa tu kuna utofauti wa imani.

Eleine kitu cha muhimu kwako kutambua sasa ni kuwa, heri umepata nafasi ya kuelezwa kwa uwazi kuwa mtu wa kabila lako hatakiwi katika familia ya mchumba wako, kuliko vimbwanga ambavyo ungekutana navyo pindi ungeolewa.
Binafsi ninaweza kusema huyo jamaa amekuwa mstaarabu kukueleza kwa kuwa anakujali, la sivyo angekuwa ni mtu mwingine angelazimisha lakini ndoa yako ingekuwa chungu kutokana na mashinikizo hasi ya mama mkwe.
Piga moyo konde mapenzi hayajaanza leo wala jana, yapo tokea kipindi cha Adam na Hawa.
 
Last edited by a moderator:
Dunia ndio ilivyo, lilishanikuta hili, kweli inauma lakini utafanyaje???waweza jihisi una gundu vile lakini usiwaze hivyo! piga moyo konde songa mbele, Mungu atakuletea wa kwako ambae ni wa ukweli. Hilo gume gume nalo mpaka linakutongoza lilikuwa halijui mama yake hataki makabila mengine??
ina kabla ya kumtokea alitakiwa amuulize mama yake kwanza kuna msichana anamfukuzia.......hiyo huwa inatokea sana..uyo mama yake ilitakiwa amuache jamaa aendelee na mahabuba wake
 
Angekua hajala kitumbua asingethubutu kukuambia huo upuuzi. Btw kisicho rizki hakiliki..
 
Hapa inaonesha huyu jamaa ana mchezea akili tuu na ukuta hata mother hajui hizo ishu na hajasema, sema jamaa kamchoka na katumia hiyo njia kumkimbiza!
Mi naungana na wewe, jamaa alikuwa hana mpango nae hii huwa inatokea saaana.
Mtu naanza mahusiano kimasiharasihara akijua just for funny, kuja kushtuka alahulaaa!!! keshafika asikotegemea!
Hapo ndo kutafuta kisingizio cha kumtema, ndo hapo unakuta wengine wanamtega (kutuma watu wamtongoze) ili kitumike kama kisingizio lakin wapi!!
unamuuzi ili akuteme lakin wapi!!( kuna jamaa flan aliwahi cheat kwa maksuid ili mpenzi wake ajue amuache, lakin akasamehewa alikubali matokeo na kuoa)

So hapo nahisi mshkaji kamsukumia tu zigo bi-mkubwa, inawezekana hata hajui.

ushauri:
Dada mfuate mama mkwe uongee nae kuhusu hilo swala alafu umsikilizie, hapo ndo utakapojua ukweli wenyewe.
 
Asante Natalia... Hayo mawazo nitayapata baadae, saivi niko kwenye maumivu ambayo ni makali sana. Ni bora ningekuwa binti mdogo, mimi ni mdada mkubwa hata sihitaji shule tena.

kama hutajali nitumbukizie kwenye inbox yangu namba ya miaka yako labda naweza kuwa na neno linaloweza kukufaa.
 
Pole sana mwaya, kiukweli inauma sana, yaliwahi nipata hayo sitaki kukumbuka, Isipokuwa lipo tumaini dada ni sawa na ulikuwa unatembea ukajikwaa ukaanguka, unainuka unajifuta vumbi enaendelea na safari. Mungu atakupa Mume bora, Huyo hakuwa wakwako achana nae, anza maisha yako upya .

1. Utulie , uwe makini.
2. Mshirikishe Mungu hili jambo, atakujibu
3. Uwe mwaminifu mbele za Mungu hawazi kukuacha

Pole sana ninaamini Mungu atakusaidia, Utapata mtu aliyesahihi kwako.
 
Hivi huwa nawaza kuna kiumbe hata mmoja enzi hizi ambaye hajaumizwa na mapenzi? Maana kilio kilio kilio, hasa kwa wenzetu wa Beijing. Na kwa nini matukio haya yanaongezeka hasa baada ya fb kuwa inplace?

Pole mtoto, Mungu akujaalie utapata.
 
tubu dhambi ya kumega mkate kabla ya ndoa kisha usitende dhambi tena vinginevyo utaangukia kwenye mikono ya manyang`au tena yakishapata yalichokuwa yanakitafuta huanza visingizio mara wazazi wamekataa,mara sina hiki.
 
Asante Natalia... Hayo mawazo nitayapata baadae, saivi niko kwenye maumivu ambayo ni makali sana. Ni bora ningekuwa binti mdogo, mimi ni mdada mkubwa hata sihitaji shule tena.

pole sana.kuachwa huwa kunaibua machungu sana.swali kuu linalokuja ni namna ulivyokataa vitu vingi kwa ajili ya uhusiano wenu,inauma sana.be strong na usijali kejeli zozote kutoka kwa yeyote we songa mbele maisha bado yanaendelea.don't let anyone akukatishe tamaa.
 
huyo kachoka kukugegeda bwana...kwani mwazoni alikuwa hajui kuwa mama hapendi kabila lako....wanaume wabaya acha tuu
kubali kuwa umetumika move on na utapata mume kamili ila usikae ukafanya kosa la kutoa papuchi kabla ya kuuliza mambo ya dini na kabila na mtazamo wa huyo mwanaume

Mbona unaenda mbali ndugu yangu yeye mwenyewe hajasema kuwa katoa papuchi kwa jamaa.
 
yale maisha ya mzaz kumtafutie mtoto mpenzi huwa hayapo,jamaa kaona a2mie kicngzio hcho ili akuache!POLE XANA UTAPATA MWNGNE MWENYE MAPENZ YA KWEL
 
dah kwa situation ilivyo lazima uchanganyikiwe so kama vip we kunywa sumu ya panya ufe zako

Busara inanituma kukushauri kuwa si vyema kutoa ushauri wa namna hii kwa mtu ambaye tayari ameshakwambia kuwa amechanganyikiwa. Utani wa namna hii unaweza ukawa ni sababu ya kifo cha mtu na ukapata dhambi za bure bila ya wewe mwenyewe kujua kuwa ulishiriki kwenye mauaji ya nafsi isiyokuwa na hatia.
 
By mzabzab
huyo kachoka kukugegeda bwana...kwani mwazoni alikuwa hajui kuwa mama hapendi kabila lako....wanaume wabaya acha tuu
kubali kuwa umetumika move on na utapata mume kamili ila usikae ukafanya kosa la kutoa papuchi kabla ya kuuliza mambo ya dini na kabila na mtazamo wa huyo mwanaume

Sometime huwa nakukubali... Ila sometime huwa unaniboa.....

Mtoa mada kuteleza sio kuangua.... Amka jikung'ute vumbi songa mbele.... Et utaanza mahusiano na nani? Kwa uliambiwa kuna mwanaume mmoja tu??????
Yaani kweli limkutalo mtu ndilo limtokalo..sasa kwa kuwa wanaume wapo wengi asiwaze??anasema hivyo kwa kuwa wote wanaomzunguka walikuwa wakinfahamu huyo aliyempiga chini.
Sasa atakapoonekana ana uhusiano na mtu mwingine hachelewi kuitwa kicheche na.ndo mwisho wa kuolewa ataendelea kugegedwa mpaka kiama
 
Be strong go back to college .success is the best revange utamsahau vibaya halafu ukijakuangalia nyuma utajiuliza hivi nililala na hili jitu


weweyaa. nimekukubali Natalia. kuna kiumbe mmoja nikimuangalia leo najiuliza huyu shetani nilimpendea nini.

usikute alichanganyikiwa na kabila letu moja wanawake ''papuchi'' leo kaikinai. shenzieee
 
Mbona unaenda mbali ndugu yangu yeye mwenyewe hajasema kuwa katoa papuchi kwa jamaa.

unatania weye...wanaume wa sasa wakae miaka miwili na demu bila kumgegeda!!?? kwanza mwanamke mwenyewe atakushanga wee f.ala nini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom