Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Pole sana na wewe! Unajua huyu jamaa katumia hiyo njia kumkimbiza tu kwani mahusiano yao haya kuanza leo, kwanini hakumwambia toka mwanzo?
Wanaume mna ufundi basi?? sijui mbwebwe kwa mbeleko gani, ndo maana nikimpata wa kumshika masikio namchuna kwa maji ya moto hadi akija jishtukia anajidharau mwenyewe