Nimechanganyikiwa na ndoa yangu

Nimechanganyikiwa na ndoa yangu

Tulizana, communication breakdown ndo chanzo cha matatizo mengi sana,kaa naye na umueleze the problem!
 
Cha msingi mkae na mumeo muelezane juu ya haki yenu ya tendo la ndoa na kuishi kwa uadilifu ktk ndoa pia mwombee sana
 
Kwa nini usubiri hadi akuguse? Si mume wako huyo?
Muanze
Na mwambie nataka game
 
Case yako haitofautiani sana na ya kwangu. Ila nashare na wewe tofauti ya case yangu na yako ili kuona namna ya kutatua tatizo lako.

Tulijitahidi sana kufanya mapenzi salama kulingana na hali yake. Na hii tulifanya kwa kujihusisha zaidi na masomo au ushauri kuhusu kufanya mapenzi na mama mjamzito.

Nakumbuka trimester ya pili vile vichefu chefu vinaisha. Hapa mimi na mke wangu tulijitahidi sana kutoka. Mke wangu alijitahidi sana kujiweka safi, kupendeza. Yani she was hotter than akiwa si mjamzito.

Tatizo alipojifungua sasa.

Kwanza nikapotezewa. Unatambua kuwa sisi wanaume tusipofanya mapenzi muda mrefu tunakuwa kama na hasira. Kusema ukweli nilikaa some good quality time bila kufanya mapenzi na mke wangu kutokana na hali yake na iliniaffect kiaina. Ila nikawa namshirikisha na sometimes tulikuwa tunafanya some good romance mpaka mtoto alipokuwa mkubwa kiasi.

Tatizo lingine maziwa na dogo ana timing sana. Yani kama anajua sasa wanataka kuenjoy basi ndio kilio.

Ushauri ongea, kuwa open. Kufanya tendo la ndoa mnaweza kufanya na sio lazima kama hamfanyi eti anachepuka. Sio lazima.

Nakubaliana na wewe.
 
hata mi nipo kama mumeo,sijamgusa wife muda sasa and all because kachanga ketu ni very demanding yaani ukimbusu tu mama watoto kenyewe ndo kanalia....i think its normal,but upendo sijapunguza ndp kwanza nimezidisha baada ya kunizawadia bby girl
 
mmhhhh ila ushapewa ushauri mzuri huko juu
 
Hi JF members, naomba ushauri kwa wale waliopo kwenye ndoa.

Ni hivi nimeolewa na nina mtoto mmoja, lakini nina miezi tisa sijashiriki kimapenzi na mme wangu, sio kwamba sitaki la, ni vile naona mwenzangu hajishughuli nami, ishu ni hivi nimekaa na mme wangu miaka miwili ya uchumba nina uhakika na kazi yake kunako sita kwa sita,tumeoana mwaka jana,wakati huo nikiwa mjamzito wa miezi mitano, kiukweli kutokana na hali ujauzito sikuwa najisikia sana kushiriki na mme wangu nafikiri pia naye alielewa hali ile hivo hakuwa msumbufu.

Mimi nafanya kazi mkoa tofauti, hivo nilirudi kazini kwangu, mwezi wa tatu nilirudi kwaajili ya kujifungua, nilijifungua salama baada ya mwezi niliondoka kwenda kwa mama mkwe wangu.

Kama mnavojua vichanga vinasumbua kiasi kwamba mwenzangu alikosa ufanisi kazini kwasababu ya kukesha mtoto akilia, kwasasa mwanetu anamiezi minne na nusu.

Nipo kwa mme wangu nilipata uhamisho kazini, lakini mme ndo hivo hana habari namimi inamaana hajanigusa tangu mimba inamiezi mitano, mme wangu anaupendo sana na hakuna kilichobadilika kwake ananijali sana, lakini naona hii hali inaniogopesha au kapata mchepuko, je au anaona atanisumbua manaake mtoto nae husumbua usiku?

Jamani hivi hii ni sawa kweli kwa mwanaume rijali?

Mliopo kwenye ndoa msaada tafadhari.

= tafadhali

Hayo maswali kwanini usimuulize mumeo?
 
Dogo ana wivu huyo....

Wengine vinalala mkianza tu romance kinalia.....


hata mi nipo kama mumeo,sijamgusa wife muda sasa and all because kachanga ketu ni very demanding yaani ukimbusu tu mama watoto kenyewe ndo kanalia....i think its normal,but upendo sijapunguza ndp kwanza nimezidisha baada ya kunizawadia bby girl
 
Ishiiiii
We mda wote huo kukaa kimya ndio nini..

Walahi tena hata kama hajatafuta mchepuko wewe unamshawishi afanye hivyo.

Unafikiri mwenzio anaishije! hebu mpe mambo bana.. . 9Month u must be kidding lolz
 
Maadam wakati wa ujauzito ulipoteza hamu ya tendo na sasa naamini una hamu ya tendo kwa nini usubiri hadi mme akuanze.? Anza wewe na dai haki yako ya ndoa akikataa ndo waweza kutia shaka ... inaonyesha mnategeana
 
Ni kawaida kwa walioingia kwenye ndoa karibuni,anaogopa kupandanisha watoto.na kama hajapata ushauri huenda naye anawaza ukame huu mpaka lini! na labda naye yupo humu anaomba ushauri wa kupata mchepuko.
Ushauri wangu ni kwamba dawa ya ndoa huwa ni mazungumzo baina ya wenye ndoa,msipozungumza mnaweza kujishangaa siku moja kila mtu ana maamuzi yake.Wengi wamekushauri vizuri nami naongezera anza kwa kuzungumza na mwenzio kama ana hofu ya kupata mtoto mwingine mapema basi waone wataalam wa uzazi wa mpango wawashauri muendelee kufurahia ndoa yenu.
 
Miezi 9!!

Kama engine haitumii water for cooling probably kuna other means
 
Jaribu kumtengenezea mazingira..wanaume hawana complications .
 
ahaaaa tatizo inaonekana mumeo imemuambukiza ugonjwa wa juma dede
ahaaaa mtoto hasimam mpaka umwimbie juma dede
 
Back
Top Bottom