Matege
JF-Expert Member
- Dec 7, 2013
- 1,476
- 648
Nakuaminia mke wangu
kisses love
Nakuaminia mke wangu
Case yako haitofautiani sana na ya kwangu. Ila nashare na wewe tofauti ya case yangu na yako ili kuona namna ya kutatua tatizo lako.
Tulijitahidi sana kufanya mapenzi salama kulingana na hali yake. Na hii tulifanya kwa kujihusisha zaidi na masomo au ushauri kuhusu kufanya mapenzi na mama mjamzito.
Nakumbuka trimester ya pili vile vichefu chefu vinaisha. Hapa mimi na mke wangu tulijitahidi sana kutoka. Mke wangu alijitahidi sana kujiweka safi, kupendeza. Yani she was hotter than akiwa si mjamzito.
Tatizo alipojifungua sasa.
Kwanza nikapotezewa. Unatambua kuwa sisi wanaume tusipofanya mapenzi muda mrefu tunakuwa kama na hasira. Kusema ukweli nilikaa some good quality time bila kufanya mapenzi na mke wangu kutokana na hali yake na iliniaffect kiaina. Ila nikawa namshirikisha na sometimes tulikuwa tunafanya some good romance mpaka mtoto alipokuwa mkubwa kiasi.
Tatizo lingine maziwa na dogo ana timing sana. Yani kama anajua sasa wanataka kuenjoy basi ndio kilio.
Ushauri ongea, kuwa open. Kufanya tendo la ndoa mnaweza kufanya na sio lazima kama hamfanyi eti anachepuka. Sio lazima.
Hi JF members, naomba ushauri kwa wale waliopo kwenye ndoa.
Ni hivi nimeolewa na nina mtoto mmoja, lakini nina miezi tisa sijashiriki kimapenzi na mme wangu, sio kwamba sitaki la, ni vile naona mwenzangu hajishughuli nami, ishu ni hivi nimekaa na mme wangu miaka miwili ya uchumba nina uhakika na kazi yake kunako sita kwa sita,tumeoana mwaka jana,wakati huo nikiwa mjamzito wa miezi mitano, kiukweli kutokana na hali ujauzito sikuwa najisikia sana kushiriki na mme wangu nafikiri pia naye alielewa hali ile hivo hakuwa msumbufu.
Mimi nafanya kazi mkoa tofauti, hivo nilirudi kazini kwangu, mwezi wa tatu nilirudi kwaajili ya kujifungua, nilijifungua salama baada ya mwezi niliondoka kwenda kwa mama mkwe wangu.
Kama mnavojua vichanga vinasumbua kiasi kwamba mwenzangu alikosa ufanisi kazini kwasababu ya kukesha mtoto akilia, kwasasa mwanetu anamiezi minne na nusu.
Nipo kwa mme wangu nilipata uhamisho kazini, lakini mme ndo hivo hana habari namimi inamaana hajanigusa tangu mimba inamiezi mitano, mme wangu anaupendo sana na hakuna kilichobadilika kwake ananijali sana, lakini naona hii hali inaniogopesha au kapata mchepuko, je au anaona atanisumbua manaake mtoto nae husumbua usiku?
Jamani hivi hii ni sawa kweli kwa mwanaume rijali?
Mliopo kwenye ndoa msaada tafadhari.
hata mi nipo kama mumeo,sijamgusa wife muda sasa and all because kachanga ketu ni very demanding yaani ukimbusu tu mama watoto kenyewe ndo kanalia....i think its normal,but upendo sijapunguza ndp kwanza nimezidisha baada ya kunizawadia bby girl
Acha kulia lia msome huyu mdau hapa chini kwa makini...
mwambie akupe amox-clav bana, amoxicillin haitoshi