kama hana mchepuko, maji ya moto yanaweza kuwa yamesaidia la sivyo ni hatari
Halafu we dada inavyoonyesha sijui ni wale "rara nikurenge"?nijuavyo mimi sex analianzisha yeyote yule,ila wewe unamuonea aibu,ingekua ukimuomba anakomaa anakutolea nje ningesema ni another case!!
mmmmmmmmhhh!!!
Ni mingi, makalioa yanasuguana miezi 9 bila bila? Kweli ndo maana watu wanajinyonga miguu
Pouwa handsome wangu
Hi JF members, naomba ushauri kwa wale waliopo kwenye ndoa.
Ni hivi nimeolewa na nina mtoto mmoja, lakini nina miezi tisa sijashiriki kimapenzi na mme wangu, sio kwamba sitaki la, ni vile naona mwenzangu hajishughuli nami, ishu ni hivi nimekaa na mme wangu miaka miwili ya uchumba nina uhakika na kazi yake kunako sita kwa sita,tumeoana mwaka jana,wakati huo nikiwa mjamzito wa miezi mitano, kiukweli kutokana na hali ujauzito sikuwa najisikia sana kushiriki na mme wangu nafikiri pia naye alielewa hali ile hivo hakuwa msumbufu.
Mimi nafanya kazi mkoa tofauti, hivo nilirudi kazini kwangu, mwezi wa tatu nilirudi kwaajili ya kujifungua, nilijifungua salama baada ya mwezi niliondoka kwenda kwa mama mkwe wangu.
Kama mnavojua vichanga vinasumbua kiasi kwamba mwenzangu alikosa ufanisi kazini kwasababu ya kukesha mtoto akilia, kwasasa mwanetu anamiezi minne na nusu.
Nipo kwa mme wangu nilipata uhamisho kazini, lakini mme ndo hivo hana habari namimi inamaana hajanigusa tangu mimba inamiezi mitano, mme wangu anaupendo sana na hakuna kilichobadilika kwake ananijali sana, lakini naona hii hali inaniogopesha au kapata mchepuko, je au anaona atanisumbua manaake mtoto nae husumbua usiku?
Jamani hivi hii ni sawa kweli kwa mwanaume rijali?
Mliopo kwenye ndoa msaada tafadhari.
hapo sawa....najisikia kijana tena nikipata salam kama hiyo kwa kigori..
umemaliza kila kitu mjadala umefungwa
thread ishafungwa asipofata
huu ndo ushauri
zingine mbwembwe
Matege chukua huu ushauri, utakuja kukusaidia mbeleniKwa kifupi:
Pole sana kwa yote yanayokukabili but amini usiamini hali hiyo nawe pia umechangia kwa 50% ... kumbuka, wanaume ni viumbe very sensitive na mchanganyiko wa nature na saikolojia mara nyingi haupo upande wetu so huwa tunahitaji sana msaada wenu to make things happen.
Ushauri:
1. Kabla hujaanza kumwangalia mumeo na kumchunguza hebu jaribu kujichunguza mwenyewe especially baada ya kujifungua; Una adabu?Una muheshimu mumeo vya kutosha?Huna kiburi na dharau? Ukiacha mtoto, unajitahidi ku-maintain hali aliyokukuta nayo mwanzo i.e Usafi, utundu na urembo? Au baada ya ndoa na mtoto then umeamua kuwa 'mama' ... mwisho, mmewahi kuwa na ugomvi ulioisha bila wewe kukiri na kuomba msamaha?
.........Kama hapo juu mambo sio shwari, then rekebisha kwanza kwani mojawapo kati ya hayo, linaweza kuwa ndio linalosababisha yote yanayokukabili!
2. Kama yote hapo juu yapo poa, then waweza jaribu mambo mawili;
(a) Anza ku-initiate ::: Acha kuzubaa, hakuna kitu kina turn-on wanaume wengi kama mnapoanzisha sex, acha kukaa tu ukisubiri yeye kila siku aje akubembeleze na kukuomba ... tatizo lipo wapi ukampikia chakula akipendacho, jioni akija ukaanza naye mlangoni, sebuleni then ukammaliza (Thats what mine always do).
(b)Zungumzeni ::: Sidhani hili nalo unahitaji kushauriwa, acha kumjibia maswali, mweke chini then muulize kwa heshima na adabu then kama ana tatizo tafuta jinsi ya kumsaidia, usiwe kama wale wanaoamini 'mwanaume' huwa hashindwi kitu ....
(Ni maoni binafsi)
i love you my hubito.... naufanyia kazi love