Nimechanganyikiwa na ndoa yangu

Nimechanganyikiwa na ndoa yangu

kuwa unaanzisha mtanange wewe ... mtege jiingize mwenyewe dushe ... ukisubiria akuguse wakati we humgusi utasubiria hapo.... ni hivi kama unapenda kuchapwa kalio uwe unamchapa ila ni tabia mbaya kumchapa mwanaume kalio.... mshike nyonyo... wakati mwingine mpandie kifuani mbusu mbusu kuwa mchokozi... hapo lazima uhakikishe mtoto amelala
 
kuwa unaanzisha mtanange wewe ... mtege jiingize mwenyewe dushe ... ukisubiria akuguse wakati we huguswi utasubiria hapo.... ni hivi kama unapenda kuchapwa kalio uwe unamchapa ila ni tabia mbaya kumchapa mwanaume kalio.... mshike nyonyo... wakati mwingine mpandie kifuani mbusu mbusu kuwa mchokozi... hapo lazima uhakikishe mtoto amelala

ha ha haaa; hakyanani nyie vijana...!
 
Kwa kifupi:

Pole sana kwa yote yanayokukabili but amini usiamini hali hiyo nawe pia umechangia kwa 50% ... kumbuka, wanaume ni viumbe very sensitive na mchanganyiko wa nature na saikolojia mara nyingi haupo upande wetu so huwa tunahitaji sana msaada wenu to make things happen.

Ushauri:
1. Kabla hujaanza kumwangalia mumeo na kumchunguza hebu jaribu kujichunguza mwenyewe especially baada ya kujifungua; Una adabu?Una muheshimu mumeo vya kutosha?Huna kiburi na dharau? Ukiacha mtoto, unajitahidi ku-maintain hali aliyokukuta nayo mwanzo i.e Usafi, utundu na urembo? Au baada ya ndoa na mtoto then umeamua kuwa 'mama' ... mwisho, mmewahi kuwa na ugomvi ulioisha bila wewe kukiri na kuomba msamaha?
.........Kama hapo juu mambo sio shwari, then rekebisha kwanza kwani mojawapo kati ya hayo, linaweza kuwa ndio linalosababisha yote yanayokukabili!

2. Kama yote hapo juu yapo poa, then waweza jaribu mambo mawili;
(a) Anza ku-initiate ::: Acha kuzubaa, hakuna kitu kina turn-on wanaume wengi kama mnapoanzisha sex, acha kukaa tu ukisubiri yeye kila siku aje akubembeleze na kukuomba ... tatizo lipo wapi ukampikia chakula akipendacho, jioni akija ukaanza naye mlangoni, sebuleni then ukammaliza (Thats what mine always do).
(b)Zungumzeni ::: Sidhani hili nalo unahitaji kushauriwa, acha kumjibia maswali, mweke chini then muulize kwa heshima na adabu then kama ana tatizo tafuta jinsi ya kumsaidia, usiwe kama wale wanaoamini 'mwanaume' huwa hashindwi kitu ....

(Ni maoni binafsi)
Umemshauri vizuri sana.chukua ushauri huu na ufanyie kazi.Pia usisahau kumuomba Mungu wako.
 
Hi JF members, naomba ushauri kwa wale waliopo kwenye ndoa.

Ni hivi nimeolewa na nina mtoto mmoja, lakini nina miezi tisa sijashiriki kimapenzi na mme wangu, sio kwamba sitaki la, ni vile naona mwenzangu hajishughuli nami, ishu ni hivi nimekaa na mme wangu miaka miwili ya uchumba nina uhakika na kazi yake kunako sita kwa sita,tumeoana mwaka jana,wakati huo nikiwa mjamzito wa miezi mitano, kiukweli kutokana na hali ujauzito sikuwa najisikia sana kushiriki na mme wangu nafikiri pia naye alielewa hali ile hivo hakuwa msumbufu.

Mimi nafanya kazi mkoa tofauti, hivo nilirudi kazini kwangu, mwezi wa tatu nilirudi kwaajili ya kujifungua, nilijifungua salama baada ya mwezi niliondoka kwenda kwa mama mkwe wangu.

Kama mnavojua vichanga vinasumbua kiasi kwamba mwenzangu alikosa ufanisi kazini kwasababu ya kukesha mtoto akilia, kwasasa mwanetu anamiezi minne na nusu.

Nipo kwa mme wangu nilipata uhamisho kazini, lakini mme ndo hivo hana habari namimi inamaana hajanigusa tangu mimba inamiezi mitano, mme wangu anaupendo sana na hakuna kilichobadilika kwake ananijali sana, lakini naona hii hali inaniogopesha au kapata mchepuko, je au anaona atanisumbua manaake mtoto nae husumbua usiku?

Jamani hivi hii ni sawa kweli kwa mwanaume rijali?

Mliopo kwenye ndoa msaada tafadhari.

Inategemea na kama hakugusi anza kumgusa wewe.
 
Unakaa tu hapo kitandani kama gogo ukingojea akusogeze au?
Uwe unalala bila nguo, umesikia?
Mtoto mweke kitanda tofauti
au mtoto laza ukutani hukoo, wewe mkabe vizuri sana mumeo,
yaani hapo weka ziro distance.
halafu ukija hapa utoe majibu.
 
Ulikwisha zungumza nae kuhusu hilo? Ama ndio kukimbilia kwenye social media mapema hata kabla jambo halijawa gumu. Acha uvivu timiza wajibu wako kwanza then ukishindwa wana JF watakusaidia kimawazo.

Ama ni tanganzo la biashara in direct Love connect maana hii dunia bwana

cc amoxillin
 
Last edited by a moderator:
nimetetemeka, miezi 9 hujapigwa kitu? Pana volcano inafukuta hapo.

Yaani inaonyesha kichupa cha huyu dada kishajaa hadi karibia kinamwagika na akikutana na mjanja yeyote akiguswa kidogo tu lazima amwekee V


Sent from my BlackBerry Z30 using JamiiForums mobile
 
Kwa kifupi:

Pole sana kwa yote yanayokukabili but amini usiamini hali hiyo nawe pia umechangia kwa 50% ... kumbuka, wanaume ni viumbe very sensitive na mchanganyiko wa nature na saikolojia mara nyingi haupo upande wetu so huwa tunahitaji sana msaada wenu to make things happen.

Ushauri:
1. Kabla hujaanza kumwangalia mumeo na kumchunguza hebu jaribu kujichunguza mwenyewe especially baada ya kujifungua; Una adabu?Una muheshimu mumeo vya kutosha?Huna kiburi na dharau? Ukiacha mtoto, unajitahidi ku-maintain hali aliyokukuta nayo mwanzo i.e Usafi, utundu na urembo? Au baada ya ndoa na mtoto then umeamua kuwa 'mama' ... mwisho, mmewahi kuwa na ugomvi ulioisha bila wewe kukiri na kuomba msamaha?
.........Kama hapo juu mambo sio shwari, then rekebisha kwanza kwani mojawapo kati ya hayo, linaweza kuwa ndio linalosababisha yote yanayokukabili!

2. Kama yote hapo juu yapo poa, then waweza jaribu mambo mawili;
(a) Anza ku-initiate ::: Acha kuzubaa, hakuna kitu kina turn-on wanaume wengi kama mnapoanzisha sex, acha kukaa tu ukisubiri yeye kila siku aje akubembeleze na kukuomba ... tatizo lipo wapi ukampikia chakula akipendacho, jioni akija ukaanza naye mlangoni, sebuleni then ukammaliza (Thats what mine always do).
(b)Zungumzeni ::: Sidhani hili nalo unahitaji kushauriwa, acha kumjibia maswali, mweke chini then muulize kwa heshima na adabu then kama ana tatizo tafuta jinsi ya kumsaidia, usiwe kama wale wanaoamini 'mwanaume' huwa hashindwi kitu ....

(Ni maoni binafsi)

Haya maoni binafsi nimeyachukua nakuongezea ujuz
 
vunja ukimya mwambie mume wangu,,,shamba laka linaitaji palizi,vipi mbona umejisahau toka mavuno mwenzangu..au una shamba lingine??????????? atakuelewa tu mwana jf
 
kuwa unaanzisha mtanange wewe ... mtege jiingize mwenyewe dushe ... ukisubiria akuguse wakati we humgusi utasubiria hapo.... ni hivi kama unapenda kuchapwa kalio uwe unamchapa ila ni tabia mbaya kumchapa mwanaume kalio.... mshike nyonyo... wakati mwingine mpandie kifuani mbusu mbusu kuwa mchokozi... hapo lazima uhakikishe mtoto amelala

mmmmmmmmhhh!!!
 
Kwa kifupi:

Pole sana kwa yote yanayokukabili but amini usiamini hali hiyo nawe pia umechangia kwa 50% ... kumbuka, wanaume ni viumbe very sensitive na mchanganyiko wa nature na saikolojia mara nyingi haupo upande wetu so huwa tunahitaji sana msaada wenu to make things happen.

Ushauri:
1. Kabla hujaanza kumwangalia mumeo na kumchunguza hebu jaribu kujichunguza mwenyewe especially baada ya kujifungua; Una adabu?Una muheshimu mumeo vya kutosha?Huna kiburi na dharau? Ukiacha mtoto, unajitahidi ku-maintain hali aliyokukuta nayo mwanzo i.e Usafi, utundu na urembo? Au baada ya ndoa na mtoto then umeamua kuwa 'mama' ... mwisho, mmewahi kuwa na ugomvi ulioisha bila wewe kukiri na kuomba msamaha?
.........Kama hapo juu mambo sio shwari, then rekebisha kwanza kwani mojawapo kati ya hayo, linaweza kuwa ndio linalosababisha yote yanayokukabili!

2. Kama yote hapo juu yapo poa, then waweza jaribu mambo mawili;
(a) Anza ku-initiate ::: Acha kuzubaa, hakuna kitu kina turn-on wanaume wengi kama mnapoanzisha sex, acha kukaa tu ukisubiri yeye kila siku aje akubembeleze na kukuomba ... tatizo lipo wapi ukampikia chakula akipendacho, jioni akija ukaanza naye mlangoni, sebuleni then ukammaliza (Thats what mine always do).
(b)Zungumzeni ::: Sidhani hili nalo unahitaji kushauriwa, acha kumjibia maswali, mweke chini then muulize kwa heshima na adabu then kama ana tatizo tafuta jinsi ya kumsaidia, usiwe kama wale wanaoamini 'mwanaume' huwa hashindwi kitu ....

(Ni maoni binafsi)
Thanx kwa ushauri mzuri, kwa suala la usafi najiamini, najitahidi sn, perhaps even more than before sijapata mtoto, kwa ufupi nilishakuwa na uelewa tayari kwamba wanaume wengi hupoteza hamu kwasababu wake zao huwa careless after birth.Ninatabia njema kiasi kwamba naona ndoa yangu ni paradiso ndogo, shida ni hapo tu kwenye tendo.
 
Case yako haitofautiani sana na ya kwangu. Ila nashare na wewe tofauti ya case yangu na yako ili kuona namna ya kutatua tatizo lako.

Tulijitahidi sana kufanya mapenzi salama kulingana na hali yake. Na hii tulifanya kwa kujihusisha zaidi na masomo au ushauri kuhusu kufanya mapenzi na mama mjamzito.

Nakumbuka trimester ya pili vile vichefu chefu vinaisha. Hapa mimi na mke wangu tulijitahidi sana kutoka. Mke wangu alijitahidi sana kujiweka safi, kupendeza. Yani she was hotter than akiwa si mjamzito.

Tatizo alipojifungua sasa.

Kwanza nikapotezewa. Unatambua kuwa sisi wanaume tusipofanya mapenzi muda mrefu tunakuwa kama na hasira. Kusema ukweli nilikaa some good quality time bila kufanya mapenzi na mke wangu kutokana na hali yake na iliniaffect kiaina. Ila nikawa namshirikisha na sometimes tulikuwa tunafanya some good romance mpaka mtoto alipokuwa mkubwa kiasi.

Tatizo lingine maziwa na dogo ana timing sana. Yani kama anajua sasa wanataka kuenjoy basi ndio kilio.

Ushauri ongea, kuwa open. Kufanya tendo la ndoa mnaweza kufanya na sio lazima kama hamfanyi eti anachepuka. Sio lazima.
 
Back
Top Bottom