AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
hongera sana,sikujua kama wajumbe wa nyumba kumi bado wapo,itabidi nami niulize hapa mtaani kwetu nimjue ni nani!
hv kweli yale maisha ya wanandoa kwenda kupeleka kesi kwa mjumbe bado yapo!
duu!
Yapo Kaka mie kuna mzee mmoja tunafanya nae kazi ni Mjumbe Buguruni aliniambia aliwahi kususiwa mke wa mtu usiku wa manane sasa huo si msala kumpa hifadhi mke wa mtu ili japo kesho asubuhi mumewe atakapoa hasira zake arudi nyumbani. Ewe Nguli muombe mungu aepushie mbali ugomvi wa ndoa kama huo. Amen