Nimechaguliwa kwa furaha na kishindo

Nimechaguliwa kwa furaha na kishindo

NGULI

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
4,801
Reaction score
652
Ndg zangu wana JF, Tangu nimezaliwa sijawahi hata kuwa monitor darasani lakini katika mshangao jana wakati natoka kazini nilikuta kamati ya wazee nyumbani ikinisubiri kunipa gud news kuwa wamenichagua kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Aliyekuwepo wamemtoa kwa sababu ya ulevi na kutokutumikia wananchi katika eneo lake la nyumba kumi. Naona sasa safari ya kuwa mbunge inaninyemelea.

Ila sheria inasemaje kwa mtu mpangaji kuwa mjumbe si ninaweza kupigwa notice at any moment nikapotea au nikahama kwa hiari yangu mwenyewe kutafuta nyumba au makazi ya bei rahisi?

Kwa hiyo ndugu wana JF naombeni pongezi zenu. Wazungu wanasema rome was not built at a day au safari ya hatua 1,000,000,000 ilianza na hatua 1.

Mjumbe wa nyumba kumi mikumi str.
 
Nenda kanisani kaombe baraka uweze kuwa mjumbe bora! Usionekane Bagamoyo
 
Hongera sana Nguli. Watu wana imani na matumaini makubwa na wewe. Hilo kwa lenyewe tayari ni ushindi wa aina yake. Lakini ni hatua muhimu pia kwa safari yako ndefu kupanda huenda hata kutinga mjengoni. Bon Voyage!
 
Ndg zangu wana JF, Tangu nimezaliwa sijawahi hata kuwa monitor darasani lakini katika mshangao jana wakati natoka kazini nilikuta kamati ya wazee nyumbani ikinisubiri kunipa gud news kuwa wamenichagua kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Aliyekuwepo wamemtoa kwa sababu ya ulevi na kutokutumikia wananchi katika eneo lake la nyumba kumi. Naona sasa safari ya kuwa mbunge inaninyemelea.

Ila sheria inasemaje kwa mtu mpangaji kuwa mjumbe si ninaweza kupigwa notice at any moment nikapotea au nikahama kwa hiari yangu mwenyewe kutafuta nyumba au makazi ya bei rahisi?

Kwa hiyo ndugu wana JF naombeni pongezi zenu. Wazungu wanasema rome was not built at a day au safari ya hatua 1,000,000,000 ilianza na hatua 1.

Mjumbe wa nyumba kumi mikumi str.
Tuma namba yako ya mshahara, no ya akaunti nikutumie buku uanze kudunduliza kujenga kwako...
 
Pongezi. Mwanzo mzuri.

Nashukuru kwa kunitia moyo mkuu. Hata moses kwenye bible alivyoteuliwa kuwaongoza wana wa israel hakuwa na uhakika.

Nenda kanisani kaombe baraka uweze kuwa mjumbe bora! Usionekane Bagamoyo

Thanks ur :welcome:
Hongera sana Nguli. Watu wana imani na matumaini makubwa na wewe. Hilo kwa lenyewe tayari ni ushindi wa aina yake. Lakini ni hatua muhimu pia kwa safari yako ndefu kupanda huenda hata kutinga mjengoni. Bon Voyage!

Nakushukuru sana sitowaangusha


Tuma namba yako ya mshahara, no ya akaunti nikutumie buku uanze kudunduliza kujenga kwako...

:mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Ndg zangu wana JF, Tangu nimezaliwa sijawahi hata kuwa monitor darasani lakini katika mshangao jana wakati natoka kazini nilikuta kamati ya wazee nyumbani ikinisubiri kunipa gud news kuwa wamenichagua kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Aliyekuwepo wamemtoa kwa sababu ya ulevi na kutokutumikia wananchi katika eneo lake la nyumba kumi. Naona sasa safari ya kuwa mbunge inaninyemelea.

Ila sheria inasemaje kwa mtu mpangaji kuwa mjumbe si ninaweza kupigwa notice at any moment nikapotea au nikahama kwa hiari yangu mwenyewe kutafuta nyumba au makazi ya bei rahisi?

Kwa hiyo ndugu wana JF naombeni pongezi zenu. Wazungu wanasema rome was not built at a day au safari ya hatua 1,000,000,000 ilianza na hatua 1.

Mjumbe wa nyumba kumi mikumi str.

Ninavyofahamu mimi Mjumbe wa nyumba kumi ni wadhifa ambao uko kwenye muundo wa uongozi wa CCM na siyo kwenye muundo wa kiutawala wa Serikali. Nenda ukashike ufagio wa kusafisha uozo ambao umekithiri hadi viongozi wakuu wanakiri haradhani kwamba hawatakiwi kuulizwa kuhusu rushwa ndani ya chama. Unachangamoto kubwa mbele yako, hongera zako.
 
ndg zangu wana jf, tangu nimezaliwa sijawahi hata kuwa monitor darasani lakini katika mshangao jana wakati natoka kazini nilikuta kamati ya wazee nyumbani ikinisubiri kunipa gud news kuwa wamenichagua kuwa mjumbe wa nyumba kumi. Aliyekuwepo wamemtoa kwa sababu ya ulevi na kutokutumikia wananchi katika eneo lake la nyumba kumi. Naona sasa safari ya kuwa mbunge inaninyemelea.


Ila sheria inasemaje kwa mtu mpangaji kuwa mjumbe si ninaweza kupigwa notice at any moment nikapotea au nikahama kwa hiari yangu mwenyewe kutafuta nyumba au makazi ya bei rahisi?

Kwa hiyo ndugu wana jf naombeni pongezi zenu. Wazungu wanasema rome was not built at a day au safari ya hatua 1,000,000,000 ilianza na hatua 1.

Mjumbe wa nyumba kumi mikumi str.


hongera meku kanyi kicho otaramo
 
Sasa kesi ya kumshtaki mama mwenye nyumba wako ulipopanga ikiletwa kwako, sidhani kama haki itatendeka kwa upande wa mashtaka! Ukijidai kumkandamiza mwenye nyumba, ujiandae kuhama (pengine hutapata nyumba mtaa huo huo na utapoteza wadhifa) !
 
hongera meku kanyi kicho otaramo

Ninavyofahamu mimi Mjumbe wa nyumba kumi ni wadhifa ambao uko kwenye muundo wa uongozi wa CCM na siyo kwenye muundo wa kiutawala wa Serikali. Nenda ukashike ufagio wa kusafisha uozo ambao umekithiri hadi viongozi wakuu wanakiri haradhani kwamba hawatakiwi kuulizwa kuhusu rushwa ndani ya chama. Unachangamoto kubwa mbele yako, hongera zako.

Asante sana umenifungua macho mimi mambo ya SIASA kichwani kwangu ni uzi mweupe sijui ndio inabidi nijifunze sasa
 
Takukuru wanataarifa za uchaguzi huu? Niangalizo tu
 
Takukuru wanataarifa za uchaguzi huu? Niangalizo tu

Sina uhakika mkuu, sikuomba wameniomba niwaongoze. Sikuweza kukata kwa vile namheshimu sana Plato

"The punishment which the wise suffer who refuse to take part in the government, is to live under the government of worse men." Plato
 
Mjumbe wa nyumba 10 chapa kazi usiwaangushe wazee wamekuona unasifa za uongozi.....kaa mkao wa kupokea kesi za wanandoa na mateja
 
Hongera sna Nguli hih ihihi unaishi mtaa gani vile nije kupanga??😛layball:
 
Hongera sana huu ndo mwanzo wa kuelekea kwenye Urais .all the best
 
Mjumbe wa nyumba 10 chapa kazi usiwaangushe wazee wamekuona unasifa za uongozi.....kaa mkao wa kupokea kesi za wanandoa na mateja

Sitowaangusha wazee wangu. Ila kesi za ndoa sasa hapo za mafumanizi nitaziweza kweli?

Hongera sna Nguli hih ihihi unaishi mtaa gani vile nije kupanga??😛layball:

Asante sana Mikumi str.
 
Mkuu Nguli,kwanini umekubali?Au unajiona unaiweza kazi hiyo?Jihadhari sana na rushwa,kazi hiyo ina rushwa mbaya sana kuanzia kesi za ubakaji,ugomvi,ngono etc.zinategemea ukweli wako kwanza.
Kumbe viongozi wetu wanaosemaga hawakutaka kugombea na wala hawakugombea huwa ni kweli, nitakuja niwashauri hao wazee waungane na wenzao wa DSM wakuombe uwe Raisi wetu kupitia chama fulani-nina imani hutotuangusha -maana umeanza vyema!:smile-big:
 
Sitowaangusha wazee wangu. Ila kesi za ndoa sasa hapo za mafumanizi nitaziweza kweli?



Asante sana Mikumi str.

hongera sana,sikujua kama wajumbe wa nyumba kumi bado wapo,itabidi nami niulize hapa mtaani kwetu nimjue ni nani!
hv kweli yale maisha ya wanandoa kwenda kupeleka kesi kwa mjumbe bado yapo!
duu!
 
Sitowaangusha wazee wangu. Ila kesi za ndoa sasa hapo za mafumanizi nitaziweza kweli?



Asante sana Mikumi str.

Kwa msaada wa MUNGU WAKUU HUTAWALA Mithali ....
hongera sana .....kesi zinazosuluhishwa na wajumbe wa 10 cells zinahitaji uzoefu wa familia unazoongoza do not worrryyyyy hazitakushinda km unawajua vema watu wako na matatizo yao

mix with yours
 
Back
Top Bottom