Unafuata elimu au pesa? Kama unafuata elimu, nenda hicho cha 14 kwa ubora, ila kama unafuata pesa, nenda hicho cha 122 kwa uboraNipo njia panda ni mwezi sasa, sijui niende chuo gani. Usiku na mchana nachakata ubongo wangu kisha nalala.
Katika kufanya application za vyuo mbalimbali duniani nimebahatika kuchaguliwa vyuo viwili.
Chuo kimoja ni cha 14 kwa ubora duniani, ila nikiwa nasoma chuo hicho nitakua nikilipwa kama milioni 2 na nusu kwa mwezi kama fedha ya kujikimu.
Hiki kingine nicha 122 kwa ubora duniani ila nikiwa hapo nitakua nalipwa milioni tatu na nusu kwa mwezi pamoja na marupurupu mengine.
Nipo hapa jamani, kuomba ushauri nifuate njia ipi. Je niende hicho cha 14 kwa ubora duniani au niende hicho cha 122?
Naweza kusema katika sekta hii nimekua expert kwakweli. Ninaweza hata nikafungua shule ya kuelekeza haya mambo ila tatizo muda mambo pia ni mengi sana.
Natamani sana siku nikasome huku, nafikaje sasa na tu GPA twangu twa kulumangia ndio shughuliSweden ndio chaguo sahihi kwa upande wa gharama rafiki za maisha.... hakuna ubaguzi... watu wa Scandinavia wanamioyo myeupe sana
Kama pesa ipo unaenda tuuNatamani sana siku nikasome huku, nafikaje sasa na tu GPA twangu twa kulumangia ndio shughuli