nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

mps

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
406
Reaction score
588
ni mwaka wa tatu sasa tangu nilipokutana na huyu binti na kuwa nae ktk mahusiano lkn mda wote niliokuwa nae hakika sikuwahi kumwambia kuwa kuna siku tutaoana lkn kadri siku zilivyosonga mbele huyu binti amekuwa committed kwangu na hata imefika wakati ananiuliza maswali magumu kuhusu future yetu lkn siku zote sijataka kumkatisha tamaa ama kumuumiza kwa kile kinachoonekana kawekeza mawazo yake kwangu kiukweli anani care sana maana yy anafanya kazi nami bado nipo chuo lkn kitu ambacho kimenishinda ni kuchukua uamuzi kwa upande mwingine namhurumia kumuumiza na kusema nimuoe kiukweli sitakuwa nimeutendea moyo wangu haki maana pamoja na mazuri yote lkn sioni km ni mtu sahihi wa kua nae milele binafsi naona si chaguo langu.wakati mwingine nilikuwa mkoani(home) nikampigia simu kumjaribu nikamwambia bhana wazee wamenitafutia mchumba wa kuoa sijui itakuwaje aiseeee alituma sms ambazo machozi yalinitoka mwenyewe hivyo nimeshindwa kupata hitimisho la swala hili naombeni wenye uzoefu namiono tafauti mnishauri ili mwisho wa siku nichague ilipo hasara ndogo karibuni kwa mawazo
 
Wanaume tumeumbwa wajasiri, sasa haka kajambo kadogo tu kakumwambia upo nae kwa kuzini tu kanakushindaje? Ukweli utakuweka huru.
 
Wanaume tumeumbwa wajasiri, sasa haka kajambo kadogo tu kakumwambia upo nae kwa kuzini tu kanakushindaje? Ukweli utakuweka huru.
unachosema ni kweli ila unapoishi na mtu ni rahisi sana kumsoma kwa anachofikiria kwako unajua love is crazy binti kakolea kumtoa sio rahisi km ulivyoshauri ndo maana naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kumweka huru
 
Mwambie tu ukweli kama unasema huna hisia nae. Najua mwanzoni itakuwa ngumu kuelewa lakini hatimaye atakuja kukuelewa.

Swali kwako nawe kwa nini uliendeleza mahusiano na mtu ambaye unaamini hutakuwa na future naye? Pia kwa nini hukuwa muwazi zaidi?
 
unachosema ni kweli ila unapoishi na mtu ni rahisi sana kumsoma kwa anachofikiria kwako unajua love is crazy binti kakolea kumtoa sio rahisi km ulivyoshauri ndo maana naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kumweka huru

acha uwoga wewe! hebu mueleze ukweli, atakuwa HURU akiujua ukweli, kama ataendelea kuwa na wewe wote mtakuwa na furaha ktk mahusiano yenu.
 
hapo ndo ninapowachukia wanaume,muda wote huo kwa nini umpotezee binti wa watu muda wake?? umenikasirisha mno....
kama umenielewa vzr basi ni kwamba tumepishana mawazo yy anaamini kwa kipindi hicho kirefu tulichodumu kwenye mahusiano basi kifuatacho ni ndoa na kwangu ni tofauti na bado na mcare na kumliregard km gf 2
 
Mwambie tu ukweli kama unasema huna hisia nae. Najua mwanzoni itakuwa ngumu kuelewa lakini hatimaye atakuja kukuelewa.

Swali kwako nawe kwa nini uliendeleza mahusiano na mtu ambaye unaamini hutakuwa na future naye? Pia kwa nini hukuwa muwazi zaidi?
kumueleza mtu ukweli ktk mahusiano ni kitu mhimu lkn mm sikumficha kitu maana by that time sikuwa na mchumba wala mke zaidi nilimwambia yy ndiye mpenzi wangu kipenze hapa mjini
 
unachosema ni kweli ila unapoishi na mtu ni rahisi sana kumsoma kwa anachofikiria kwako unajua love is crazy binti kakolea kumtoa sio rahisi km ulivyoshauri ndo maana naomba ushauri wa njia bora zaidi ya kumweka huru

chagua kati ya haya mawili.
1. Kuishi na mtu anayekupenda ingawa wewe humpendi sana au
2. Kuishi na mtu unayempenda ambaye yeye hakupendi sana.

ni mara chache sana kwa dunia ya sasa kumpata unayempenda sana naye akakupenda the same way. so waweza subiri sana kumpata wa namna hii; ila kundi za hapo juu zipo za kuzidi.
 
Ulipaswa kumwambia ukweli toka jana coz naona umechelewa..

Hakikisha unamwambia leo.. Coz unavyozidi kuchelewa ndivyo unavyomzidishia machungu na kumpotezea muda zaidi.
 
acha kuumiza roho za watu mzee..!! wewe kuwa nae tu huyo ndo atakufanya uwe happy in your life....mwache uone kama utakuwa happy..haya mambo ya kupima pima katika mahusiano huwa yanawaliza watu baadae...Ingekuwa umekaa nae hata miezi sita haijafika hapo sawa sasa three years ndugu...mmmhhh....!!!
 
We muache tu uone utavyoopoa nyang'au la mjini..
Na utapotaka mrejea utakuta kashawekwa ndani...
 
ni mwaka wa tatu sasa tangu nilipokutana na huyu binti na kuwa nae ktk mahusiano lkn mda wote niliokuwa nae hakika sikuwahi kumwambia kuwa kuna siku tutaoana lkn kadri siku zilivyosonga mbele huyu binti amekuwa committed kwangu na hata imefika wakati ananiuliza maswali magumu kuhusu future yetu lkn siku zote sijataka kumkatisha tamaa ama kumuumiza kwa kile kinachoonekana kawekeza mawazo yake kwangu kiukweli anani care sana maana yy anafanya kazi nami bado nipo chuo lkn kitu ambacho kimenishinda ni kuchukua uamuzi kwa upande mwingine namhurumia kumuumiza na kusema nimuoe kiukweli sitakuwa nimeutendea moyo wangu haki maana pamoja na mazuri yote lkn sioni km ni mtu sahihi wa kua nae milele binafsi naona si chaguo langu.wakati mwingine nilikuwa mkoani(home) nikampigia simu kumjaribu nikamwambia bhana wazee wamenitafutia mchumba wa kuoa sijui itakuwaje aiseeee alituma sms ambazo machozi yalinitoka mwenyewe hivyo nimeshindwa kupata hitimisho la swala hili naombeni wenye uzoefu namiono tafauti mnishauri ili mwisho wa siku nichague ilipo hasara ndogo karibuni kwa mawazo

Yaani watu kama nyie ndio mnaongeza wimbi la magaidi wa mapenzi!! Miaka yote hiyo kwa nini usimwambie?!? Amani ya Kristo Ipitayo Fahamu Zote Ikaamue Moyoni mwako!!
 
Tatizo lako ni kwamba hujui unachotaka. Utoto tu unakusumbua. Unadhani kwamba out there kuna msichana mzuri na mtamu kuliko huyo anakusubiri. Guess what? Utakapoachana na huyo ndio utagundua jinsi ulivyokosea. Na itakuwa too late. We chenguka tu na hao viruka njia wa chuo udhani wana fyucha.
 
we shauri yako by the time unagundua she was yo mrs right itakuwa too late...maybe kuna kidudu mtu kaingia sasa unahisi ndo unampenda kumbe sio..
talking from my experience mwenzio nae alizuzuka hivyo kwa penzi jipya la kuparamia by the tym anagundua kuwa mm ndo nastahili kuwa wa ubavu wake akawa amechelewa.. sasa anatangatanga tu hana hili wala lile daily kunifuatilia nami sina tym nae..

mwambie tu kama hutaki kuendelea nae ataumia but am sure atampata atakayempenda na kumthamini.
 
Acha mapenzi ya kujibana bana na kufanya uchatakiwa ama kutegemewa kufanya na sicho unachotaka kufanya!
 
Kwi kwi kwi k tamu msipime eti amwambie ukwel afu akose kulamba nyapu ya bure daily miaka3 unamgegeda tu shostito naye anaona kapataa kwi kwi kwi so funny
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom