nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

we shauri yako by the time unagundua she was yo mrs right itakuwa too late...maybe kuna kidudu mtu kaingia sasa unahisi ndo unampenda kumbe sio..
talking from my experience mwenzio nae alizuzuka hivyo kwa penzi jipya la kuparamia by the tym anagundua kuwa mm ndo nastahili kuwa wa ubavu wake akawa amechelewa.. sasa anatangatanga tu hana hili wala lile daily kunifuatilia nami sina tym nae..

mwambie tu kama hutaki kuendelea nae ataumia but am sure atampata atakayempenda na kumthamini.

I beg to differ.
1. Uwezekano upo pia kwamba huyo jamaa yako aliyekutosa angepata msichana more decent than you.
2. Asingekutosa, for the rest of his remaining life angekuwa anawaza ni kiasi gani angekuwa na furaha with his dream girl ambaye umemzuia kuwa nae. Trust me, for this ungekuwa na messed up marriage.

Follow your heart & never regret. #YOLO
 
We bwana unafanya mchezo na mapenzi, hutapata atayekupenda kama huyo. Yawezekana umepata nyang'au wa mjini. Nakuachia poet ifuatayo thn utajua mwenyewe cha kufanya. "SOMETIME LUV CAN COME AND PASS U BY, WHILE U ARE BUSY MAKING PLANS, SUDDENLY HIT U AND U REALIZE IT IZ OUT OF YOUR MIND, SO WHY U CANT TO UNDERSTAND?
 
ngojea kupendwa na huyo unaye mtaka, kama vp mpe dada wa watu vyake kama vp atake tym yake
 
Nadhani ndugu mleta mada unajaribu kucheza na hisia za mwanamke.
Pia unashindwa kutambua utofauti wa malengo ya mtu aliye mwanafunzi na yule aliye mfanyakazi.
Kwako wewe kuoa au kuwa ndoani si chaguo kwa sasa kwani naamini baada ya shule kiu iliyopo ndani yako ni kazi na wala sio kuanzisha familia.
Mwenzako kashapata kazi, na bila shaka mbele yake kwa sasa picha pekee ni kuona ana familia.
Sasa mpishano wa namna hii wa malengo tayari ni kasoro, na mwisho wa siku lazima mtu mmoja aumie. Na kwa thread hii naona huyo mwanadada ndiye muhanga wa hili.
Ndugu mleta mada amua jambo moja kati ya haya kiroho safi:
1. Jifunze kumpenda huyo mwanadada na uendelee naye.
2. Achana naye na umtambulishe sababu ya kuachana.
 
hapo ndo ninapowachukia wanaume,muda wote huo kwa nini umpotezee binti wa watu muda wake?? umenikasirisha mno....
sasa kama mtu hatki kuachwa utafanyaje,sa nyingine sio lazima un=ambiwe matendo tu unayaona mtu hakupigii simu siku 3 kila siku unampigia wewe kweli hata kama kusoma hujui picha pia huoni?
 
Dah! ndugu yangu nakushauri epuka kilio cha mwanamke juu yako kama unataka kua na maisha yenye nehema. Wapo tena virukanjia wa mjini wanakusubiri uachane na huyu dada ili ukipate cha moto. Hata hivyo nakushangaa kuona hata hufikirii familia yako hapo mbeleni kwani shule lazima umalize na Mungu akusaidie upate kazi. Baada ya hapo utahitaji familia yako ambayao ningekushauri uianzishe na huyu dada. Hivi unadhani ni kitu gani huyu dada anakupendea wakati wewe ni mwanafuzi mtegemea boom? Hapa naona huyu dada ana upendo wa dhati na wewe. Shauri yako we muache utakuja jutia nafsi hapo mbeleni
 
kunatofauti kati ya unga na sabuni ya unga.

Jikaze ujikomboe.
 
hapo ndo ninapowachukia wanaume,muda wote huo kwa nini umpotezee binti wa watu muda wake?? umenikasirisha mno....

angesema ukweli kuwa anataka kugegedana tuu hasingepewa papuchi...ndio ikamlazimu ajifanye kuwa ana future nae
 
chagua kati ya haya mawili.
1. Kuishi na mtu anayekupenda ingawa wewe humpendi sana au
2. Kuishi na mtu unayempenda ambaye yeye hakupendi sana.

ni mara chache sana kwa dunia ya sasa kumpata unayempenda sana naye akakupenda the same way. so waweza subiri sana kumpata wa namna hii; ila kundi za hapo juu zipo za kuzidi.

Daaaahhh huu ndo ukweli katika hii dunia bhana..!!!!
 
unaweza kumtengeneza mtu akawa kama unavyotaka ili mradi yeye awe tayari, kwa kuwa anakupenda kwa dhati jitahidi kumfanya awe kama unavyotaka wewe. uhusiano na ndoa nzuri hauji kwa bahati kama unavyodhani bali unatengenezwa.
 
Ukweli humweka mtu kuwa huru zaidi katika maamzi, kuchagua, kutenda na hata kuongea. Inavyoonesha unashindwa kuwa mwazi kwake kumweleza kuwa hutamuoa kutokana na kupata benefits nyingine toka kwake nje na mapenzi ndiyo maana unasita kumwambia wazi kwa kuhofu kuwa utakosa hicho unachokipata kwa sasa.

Mweleze ili afanye maamzi mengine kwa wakati ufaao.
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Daaah pole mkuu sahv yeye kaolewa au??
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Tunashukuru kwa mrejesho,sasa hapa wengi ndo tutajifunza vizuri.
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Toa upuuzi wako hapa, wakulungwa so walikuja kukupa nondo nzuri hapa but ukawapuuzia
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Sema tu huna hela
 
kwa upande wangu katika vitu naogopa sana ni lawama zenye ukweli ndani, ukijumlisha na kuwa binadamu hatuishi milele bas ogopa kunyanyasa watu makusudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom