nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

nimebaki njia panda kuhusu huyu binti

Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

I'm sorry, but you real deserve this..!

I'm out..!!
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Holly Star unazungumzia kuhusu nini?? Mbona mrejesho tayari.??
 
Bro kama unacho kieleza ndicho unachofeel.. Hiyo ni almas mchangani.. Once ukiipoteza utajuta for life..
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Kwanini hukusikiliza ushauri?
 
Daah! Majuto ni mjukuu, nimefanya mistakes nyingi lkn hii ya kuachana na huyu dada ni kubwa na iliyoniachia majuto hadi sasa.

Miaka saba toka niachane na huyu binti bado natapatapa kwenye mahusiano.
Dhahabu imepotea
Dadeq, wadau walilijua hili na ukawapuuza. Karma.

Tunaomba utupe details kidogo ilkuaje, ulivomwambia alireact vip na kwasasa yuko wapi.
 
Dadeq, wadau walilijua hili na ukawapuuza. Karma.
Tunaomba utupe details kidogo ilkuaje, ulivomwambia alireact vip na kwasasa yuko wapi.
Nilimweleza tu kuwa sina malengo ya kumuoa, alilia sana na kunisihi nibadili maamuzi lkn niligoma. Mwisho alikubali matokeo.

Mwaka 2017 aliolewa na sasa hivi yupo kwake anaendelea na maisha yake.

Kwa upande wangu maisha ya mahusiano hayajawa rahisi toka kipindi hicho. Najuta sana kumpoteza mtu aliyenipenda kwa dhati, hakuwahi kunikosea, wife material kbs. Najuta sana.
 
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
I'm sorry, but you real deserve this..!
I'm out..!!
Sure, nilijichanganya mwenyewe. Wacha nijute
 
Such a kid! You sound like a kid anyway.

Nikuache na hii "Successful Marriage is not necessarily about loving each other, Marriage is all about Compatibility"

Hakuna jipya huko nje, wanawake wa kuoa nowadays ni wakutafuta kwa tochi.
 
hapo ndo ninapowachukia wanaume,muda wote huo kwa nini umpotezee binti wa watu muda wake?? umenikasirisha mno....
Mchukie huyo usiseme wanaume wote, nami nachukia wanawake kama wewe wanao generalize mambo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom