Nimebadili mtazamo kuhusu wanawake wanene

Nimebadili mtazamo kuhusu wanawake wanene

Ukiwa mature na kuwa tayari kuoa utajiona mjinga sana. Labda kama bado unanyonya.
 
Tena anashukuru(alhamdurilah)kwa uvumbuzi wake huo wa wanawake wanene kiukweli wachujaji wa mada walitizame hili maana mwisho wa siku unakuta sisi wanamume tuna jikita penye mada za kuponda jinsia nyingine nao pia wanatuponda hii jamiiforums.com itasimama na kuendelea vipi?
Kweli mkuu yaani nashindwa kuelewa kwa kweli haya masuala....
 
Nilimaanisha ni wanaume wenzako..
Hata unaposema kuwa ni wanaume wenzangu pia unanivunjia heshima....hao wanaoleta mada kama hizi hawawezi kuwa wanaume....hao ni wavulana wenye muenokano kama ya wanaume....
Mwanaume hawezi akapoteza muda wake wenye thamani kwa kuandika au kujivunia jambo la kipuuzi kama hilo......
 
Hata unaposema kuwa ni wanaume wenzangu pia unanivunjia heshima....hao wanaoleta mada kama hizi hawawezi kuwa wanaume....hao ni wavulana wenye muenokano kama ya wanaume....
Mwanaume hawezi akapoteza muda wake wenye thamani kwa kuandika au kujivunia jambo la kipuuzi kama hilo......
Nisamehe kwa hilo. Am sorry
 
Unamaanisha hawa?

b6efa5225cad171a92caed4b70f4142b.jpg
52ca40212aafb3e614fde98a608cfa69.jpg
9a3279452fb6424c793d2799e2f7fa24.jpg
a76d1fab6ede4a2f5a25e5653bcf71f6.jpg
f074723dba9dd25eac8b44455270bdaf.jpg
 
Form 5 zinaanza lini ???? Enzi zetu form 5 ilikua march hii ya kuwapeleka watoto hadi mwezi wa 7 ni majanga huku mtaani
Na kipindi hiki huyu mama atusaidie kurejesha uwezo wa hawa watoto kufikiri. Mama Ndalichako, tuokolee hawa watoto wa mkwere, ni zahma hii
 
kinga inapunguza utamu weweeeeee...na wanawake wengine wanapenda kumwagiwa shahawa,,,hujawahi pewa mraha wewee
 
Hivi kweli wajameni JF imefikia hatua ya kudharaulika kiasi hiki mpaka mtu ana post utumbo huu kweli....
Hivi kweli JF tumekuwa watu wa kujadili NGONO kama vile tupo vijiwe vya wavuta bangi badala ya kushauriana masuala ya kuimarisha ndoa....!!!

Nini kimeikumba JF ya sasa...??? Au imebinafsishwa na makampuni yanayozalisha filamu za ngono...???
Hivi kweli jamani post kama hii ndio mtu anaumiza kichwa kuiweka na wengine wanachukua muda wao kuijadili.....???
Jf imejikwaa wapi...???

Mkuu hata mimi nakushangaa...siji kwanini umepoteza mda wako kucomment.
 
Mkuu hata mimi nakushangaa...siji kwanini umepoteza mda wako kucomment.
Kama mimi na wewe tusikemea upuuzi huu...unadhani ni nani wa kulaumiwa...??
Inawezekana hawa watoto wakawa hawajui wanachokifanya...inawezekana huku kuwaambia kwetu ndio kunakowaasha kutoka katika usingizi wa ujinga....

Au mkuu umekereka na karipio langu.....??
 
Hivi kweli wajameni JF imefikia hatua ya kudharaulika kiasi hiki mpaka mtu ana post utumbo huu kweli....
Hivi kweli JF tumekuwa watu wa kujadili NGONO kama vile tupo vijiwe vya wavuta bangi badala ya kushauriana masuala ya kuimarisha ndoa....!!!

Nini kimeikumba JF ya sasa...??? Au imebinafsishwa na makampuni yanayozalisha filamu za ngono...???
Hivi kweli jamani post kama hii ndio mtu anaumiza kichwa kuiweka na wengine wanachukua muda wao kuijadili.....???
Jf imejikwaa wapi...???
HII THREAD HAIKUHUSU ACHA KUPANIC KABLA HUJAPOST !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom