Stephano Shahidi
Member
- May 28, 2023
- 55
- 63
Habarini,
Nilikuwa na mke tuliependana sana kwa muda wa miaka 9. Mwanamke alibadilika na kuondoka, alinichenga sana alipo mpaka sasa ni miezi 6 hataki kuwasiliana, nami ameamua kudanga.
Nataka nimtafute mchumba mpya nioe, je, nikitafuta wa jina kama la mke wangu itanipa shida? Mke wangu anaitwa Elizabeth, basi mimi hukumbuka sana mtakatifu Elizabeth. Alienda kumsalimu Bikira Maria kipindi yu mjamzito hadi kitoto kilichoko tumboni kikacheza, nami nilikuwa najisikia nimeoa mtu mwenye jina la utakatifu huo.
Je, nikiwa na wanangu na mke mpya sitakumbuka kumbuka mambo ya mke wangu Elizabeth?
Naombeni msaada kwa wazoefu waliopitia changamoto kama hii.
Nilikuwa na mke tuliependana sana kwa muda wa miaka 9. Mwanamke alibadilika na kuondoka, alinichenga sana alipo mpaka sasa ni miezi 6 hataki kuwasiliana, nami ameamua kudanga.
Nataka nimtafute mchumba mpya nioe, je, nikitafuta wa jina kama la mke wangu itanipa shida? Mke wangu anaitwa Elizabeth, basi mimi hukumbuka sana mtakatifu Elizabeth. Alienda kumsalimu Bikira Maria kipindi yu mjamzito hadi kitoto kilichoko tumboni kikacheza, nami nilikuwa najisikia nimeoa mtu mwenye jina la utakatifu huo.
Je, nikiwa na wanangu na mke mpya sitakumbuka kumbuka mambo ya mke wangu Elizabeth?
Naombeni msaada kwa wazoefu waliopitia changamoto kama hii.